Wadau HTC yangu inatumia EDGE kwenye upande wa network sasa kunajamaa ameniambia kuwa naweza kuibadilisha ikatumia 3G kwa kui root
Msaada wenu unahitajika kakita kufanya hii process kama inawezekana
Habari.
Siku hizi wa Tanzania tumepiga hatua kubwa sana katika ushirikiano kijamii na moja ya hatua iyo ni kujiunga pamoja ktk vikundi ambavyo vina jihusisha na shughuli za ujasilia mali.
Lakini kuna shida moja mm ambayo nimeiona nayo ni ukosefu wa ujuzi juu ya swala la Faida, Hasala na...
Kwa yoyote anae jua jinsi ya kuandika project Proposal atufahamishe mpangilio wake unatakiwa kuwaje (Content)
Proposal Hii nikwaajili ya kuomba sponser ya Government katika project hii.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kwa wote wanao soma, na wafanya kazi katika sector hii ya uwandisi kilimo naomba tupeane taarifa juu ya mambo haya yafuatayo
1. Sehemu gani ni nzuri kwa ajili ya kufanyia field
2. Sehemu gani ajila zina patikana serikalini au makampuni binafsi, na kama ni makampuni binafsi je ni maka mpuni...
Jamani mwenye ujuzi katika hayo mambo apo mawili naomba tupeane elimu jinsi gani hivi vitu vina weza kutengenezwa! Maana kuna project nataka kufanya na ivyo vitu vimo
Nawasilisha kwenu waatalamu
Sent from my BlackBerry 9780
Shayiri nijamii flan iv ya ngano ambayo hutumika sana kutengenezea Pombe, zao hili lina uhitaji mkubwa sana apa nchini kwetu hasa kwa viwanda vya bia kama vile TBL and SBL, naomba mwenye uzoefu katika hili atupe taarifa kutokana na maswali yafuatayo
1.Jins linavyo limwa
2.Gharama zake za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.