Natafuta kanyumba au upande wa nyumba unaojitegemea kwa ajili ya kupanga kwa mwezi 1 hadi 3 kwa mgeni anaekuja Dar kwa muda mfupi, chumba, sebule, jiko, choo na bafu au chumba kinachojitegemea na sebule. Sehemu ambayo mtu 1 anaweza kuishi vizuri bila muingiliano sana na wengine kama ina watu...
Kuna tabia inashamiri kama vile watu wameenda kusomea. Utashangaa gari ya mbele yako, iwe Daladala, Gari binafsi au Lori ama Basi, takataka mfano makopo ya juice, maji, mifuko ya rambo, magunzi ya mahindi yanatupwa barabarani kupitia madirisha ya gari. Nyie wa nyuma inabidi dereva akwepe...
Nimetafuta nimechoka. Ninaowapata wote wazuri wiki 2 - 4 za mwanzo baadae wanageuka wezi. Wameniibia miaka 2 yote nimekuwa na-invest shambani bila kupata kitu, mayai wanauza, kuku wanauza, vifaranga wakishachangamka wanauza. Shamba ni la wanyama hasa kuku na kanga. Nguruwe niliwaondoa baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.