Nenda facebook na type qnet india utaikuta.type qnet tanzania utaikuta type qnet kenya utaikuta.type qnet dubai utaikuta.type qnet kenya utaikuta nenda kigali kuna ofisi huyo hajui dunia inakoelekea.
Kama hujui kitu bora kukaa kimya unawezapost kitu cha uongo ukaonekana jinsi gani ubongo wako hauna kitu.pia yawezapelekea watu kukuona ni jinsi gani hujui dunia inapo elekea dunia yote inaondoka off line na kwenda online wazo lako hilo kuhusu qnet ni potofu na naomba uweke namba yako ya simu...
Ni haki yako ya kisheria na tulishangaa askari wa kiume kufanya kitendo hicho kwa mwanamke nafikiria itakuwa fundisho kwa askari kutumia mabavu na kudhalilisha raia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naonelea icc ni ya muhimu kwa africa kwa sababu za msingi kwamba demokrasia africa bado ina safari ndefu sana.pili elimu na wananchi wengi hawajui haki zao za msingi na kuwa waoga wa kudai haki zao kwa sababu afrika ukidai haki siku hizi viongozi wamekuja na mtindo mpya wa kudidimiza...
hapa nafikiri anapaswa kutumia busara na kuhamasisha wanavijiji kujenga vyoo kandokando ya barabara kuuu ili kutoa huduma hiyo kwani atakuwa hawatendei haki abiria wa mabasi kwa sababu kuna mabasi mengi hutembea mwendo mrefu bila kupiti kwenye sehemu ya huduma na wakati mwingine kuna dharula.
Kamera za ulinzi za cctv zinauwezo wa kurekodi matukio kwa masaa ishiri na nne wiki mpaka miezi inategemea na ukubwa wa hard disk utakayo weka kwenya kingamuzi unganishi yaani dvr. Digitavideo recorder ambayo huchukua picha na kuziweka kwenye kumbukumbu kwa ajili ya. Mtumiaji kuweza kupata...
Nnapenda kumpongeza raisi wa jamuhuri ya muungano ya tanzania kwa nia yake njema kupambana na rushwa hili limejitokeza wazi baada ya kutaka ripoti ya rushwa itolewe wazi kwa wananchi na kuondoa ukiritimba wa habari muhimu zinazo wahusu wananchi ambao ndiyo wadau wenyewe kutokujadili matatizo yao...
Standard care co ltd po box 694 mwanza tanzania,tel +255-754-808700 tunauza vifaa vyote vya ulinzi cctv cameras dvrs,digital video recorders,baluns,connectors,detector,security guard patrol monitoring systems,etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.