Yaani maelezo yote haya unayoelezea malalamiko kibao na bado umeshidwa ata kutaja jina la hiyo shule (English medium) ambayo wamekataa kuwahamisha wanao!!! Sasa unaomba msaada upi wakati unashiriki kumficha mtuhumiwa wako? Mie naona hii ni story kama story nyingine tu ila story hii imekosa mtu...
Nadhani kabla haujasema NECTA imedanganya ungejaribu kujumlisha idadi ya hao waliofail kuona kama inafanana na idadi iliyotangazwa na NECTA au hapana. Vinginevyo na utakuwa ni mpiga kelele tu
Lakini Mkuu! Selection ya kwenda A level au vyuo uwa inatoka kwa majina. Hivyo hii ya kwenda kuripoti kwa jina la mtu mwingine halitamalizwa kwa NECTA kutoa matokeo yanayoonesha majina. Labda ungeshauri hao wanaosahau majina yao kama huyo binti wawe wanagongwa muhuli wa jina lake kwenye paji la...
Mtoa mada hiyo Twibhoki haukuona kwamba matokea yaliyotolewa ni ya mwanafunzi mmoja tu na mengine yamezuiliwa??? Unadhani itakuwa fair kulinganisha matokeo ya mwanafunzi mmoja na shule yenye wanafunzi 100+???
Ni kweli ila najiuliza kwa wale wanaokuwa wamepata uteuzi toka kwenye sekta binafsi, au walikuwa wanafanya shughuli zao Kama Msendo, hao watalipwa mshahara upi?
Kwa sasa mtihani wa mwisho una 70% na ni course work. Tatizo ninaloliona kwenye pendekezo lako ni pale ambapo shule X itafundisha topic moja na shule Y ikafundishwa topic 10 alafu wote wakatungiwa mitihani na walimu wao kwa kuzingatia topic walizosoma na ndio ziamue hiyo 70% na mtihani huo...
Inawezekana ukawa sahihi lakini kazi ya NECTA ni kufanya tathmini kwa kuangalia kigezo cha mitihani na ndio maaana wanaitwa 'BARAZA LA MITIHANI TANZANIA'. Sasa kama unashauri zifanyike rank za shule kwa kuangalia vigezo vingine kama vile Usafi, michezo na nidhamu wanaweza kufanya watu wengine...
Mkuu! Nadhani kuna taarifa ambazo haujazielewa vizuri! Mie kwa ufahamu wangu ni kuwa mtu yeyote anaweza kuwa mwanachama wa NBAA isipokuwa hao wanachama wanatambulika kwa makundi tofauti. Kuna wanachama tu, wanachama ambao ni watahiniwa (candidates), Wanachama ambao wamepata CPA chini ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.