Habari zilizoenea huko katika Uwanja wa Mapambano wa Arumeru Mashariki ni kwamba Katibu wa Ueneze na Itikadi bwana Nape Moses Nnauye Alifurahia Pale Makundi ya Wananchi yalipomzomea Waziri Mkuu Aliyejiuzulu bwana Edward Lowasa.
Nape Ambaye alishindwa Kuzuia Furaha yake ( Hasa alipokuwa na...
Chama cha Mapinduzi sasa kinaelekea kutimiza lengo lake la kukimaliza Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mpango huo unaoonekana kusukwa kifundi ulikuwa na lengo la kuwahasimisha Viongozi wawili wenye Mvuto ndani ya Chama hicho yaani Zitto Kabwe na Freeman Mbowe.
Mpango huo ulikuwa...
Mkuu Nime connect Dot tu Mawazo yangu yaweza kuwa Sahihi ila Maadam kuna Makada wa CCM hapa Rejao, FF, Malaria Sugu na wengine watakuja Kulitolea Maelezo
CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi Chama Kingerudi enzi za Kambarahe Nyerere yaani " Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi". Ikatjitokeza...
Malipo gani tena Mamii? Mashefa wakitoa huwa hawageuki nyuma LoL! Nahisi Kama mimi ndiyo nitakayekatoa katika Hali kaliyonayo sasa maana kanahitaji zaidi Ushauri sasa mimi ni Mtaalam wa Mambo hayo
Madam T kama una contact za hako katoto kaambie kani PM mimi nitakapa Nauli ya Kwenda na Kurudi Huko Majuu na Malazi pamoja na Pesa za Kupiga misele kipindi chote katakapokuwa kanamtafuta huyo Msela. Kaambie hakapaswi kupata Shida wakati Washefa Wa Mujini to
Mkuu nina wasiwasi kama ulikuwepo uwanjani na nina wasiwasi kama ulishuhudia maandamano na mwisho kama ulikaa mpaka mwisho unaweza kutuambia yale mafuso, malori, basi mbili, coaster kadhaa na pickup ziliondoka na nini na zilipeleka wapi
Nape amezungumzia kisa cha Maalim seif, amesema baada ya kuona Njaa imemzidi ikabdi aombe muafaka na CCM wakampa Umakamu wa rais akasema baada ya seif kupata Cheo sasa anapendeza, anang'ara ha ha ha dongo kwa CUF
Mkutano umemalizika salama na nilifanikiwa kuhudhuria katika mkutano huo
Mkutano ulitanguliwa na Maandamo ambayo kwa asilimia kubwa yaliwashirikisha Wana CCM wengi kutoka Ileje,Mbozi, Chunya na maeneo ya Pembezoni mwa mji ambao walisombwa na kuletwa Mbeya na Malori na wale wachache waliletwa...
Mkuu sina shaka utakuwa Umepitia St. Kayumba au Miburani Academy, maana kama huelewi hata maana ya Presidential Material napata shida sana kuendelea kukujibu
Mkuu Mbona Vijana wengi tu Matajiri na Hamuwasemi, akina Mohamed Dewji ni Vijana na ni Matajiri au kwa Sababu Ngozi Nyeupe? Acha kulalama Mkuu Fanya Kazi na Ukubali kwamba Dogo kwa Umri wake Keshakupiga Bao kubwa sanaaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.