Kwenye halmashauli nayofanya kazi kuna rafiki yangu jumamos alipata dhalula kwa sababu ofisi za serikali zinakuwa zimefungwa week end kaamua kwenda kumwona mgonjwa.
Alikaa huko wiki mbili maana mgojwa alikuwa serious alivyorudi kazini kaambiwa mtoro hivyo yampasa asipewe mshahara kwasababu...
Kuna tetesi kwamba kuna kabila moja nchini kanda ya kaskazini ukioa huko pindi ukitoka kazini jioni. Mke anakipipa handsup anakuserch mifukoni asiporidhika anakuamulu kupiga Soti yaani kutembelea mikono mpaka sole zidondoke ndo akuruhusu uingie ndani Salama jamani hii ina ukweli au majungu tu
Kuna kautafiti nimefanya nikagundua kwenye mahusiano kuna mambo mengi ikiwemo kuchepuka. Cha kushangaza wanawake wengi pindi wafumaniapo waume zao utamwona anakurupuka na kumvagaa mke/binti anaye kutwa naye.
Hii ni tofauti kwa wanaume akifumania mkewe mara nyingi anatoa adhabu kwa mkewe si kwa...
Kiufupi Mimi ni mtumishi wa serikali Nimeandaa script nzuri asili ya kabila la kihaya kuna kaela kidogo kama mil5.zamaandalizi ya a wali nahitaji mtu aliyetiyali kucheza awe na ela kidogo tufanikishe Tafadhali aliye tiyali anitafute asiwe tapeli
Nina mchumba am aye tunapendana sana .yukochuo kimoja jinini Mbeya cha kushangaza kwao kuliwahi tokea misiba mingi haikuwai tokea Hali hii Jana mama wa mkufunzi wake alifariki wakati wanapeleka mwili kuuhifadhi mchumba Wangu alipo mwangalia mwalimu wake gafla akapoteza fahamu kanipigia cm Yuko...
Niko job of sin kuna Mfanyakazi mwenzangu kaja na fomu ya mkopo wa bank nilipojaribu kuisoma kujua mashariti Tao nimegundua kipengele cha dhumuni la mkopo ikanibidi ma Mimi nivae viatu vya muhusika nikafikiria mambo matatu ya kuanza nayo maishani napenda sana kuwa na gari pia napenda kuwa na...
Nauza Nyumba yangu mwenyewe INA vyumba vitatu kimoja self finishing nimemakiza sebule tu na dinning iko mwanza machinjion being million 35 aliye tiyali nimeshaweka tiles sehemu baadhi
Nimeajiriwa serikalini mshahara Wangu wa kawaida sana yaani mshahara wa graduate kila Siku nimatatizo ikifika tarehe10 Sina kitu nikiangali nilichofanya sikioni jamani nitumie kanuni gani less yangu ikae mfukoni maana kama pombe sinywi sana wanawake sina nisaidie najikuta nimemiza pesa kwa...
Miaka mnne nyuma nilizaa na mdada wa kimachame kiukweli nilimpenda sana baada ya kumaliza masomo niliamua kukaa naye cha kushangaza akaanza kutembea na jamaa zake yaani wachagga wenzake. Nikamkarisha kikao na ndugu wakamwonya kwa tabia zake tukaendelea kuhishi kwa taadhali kubwa.
Baadaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.