Kwani kampuni ya toyota na huyo aliyeibiwa nyota kipi kilianza?
Huyo aliyeibiwa nyota yake ana umri mkubwa kuizidi kampuni ya toyota?
Mauzo ya toyota kabla ya kuuziwa hiyo nyota yalikuwaje na sasa yakoje?
Angalia shule yako wewe mtoto, kushinda kutwa jf na kutema pumba humu na hicho kisimu chako cha mchina hakutokusaidia lolote,nyie ndio mnaokuja kuwapa tabu watu uzeeni,umri haugandi,halafu andika tu kiswahili kuliko hicho kingereza cha kuokota neno moja moja.
Mbona ni mgumu sana wa kuelewa?!! Hakuna mtu kaongelea source hapa!
Mimi nimemuongelea aliyeileta hii mada,uwe unasoma comment kwa umakini na kuzielewa kwanza.
Mkuu kua kiongozi sio kua professional wa kila kitu ili uwe leader,kiongozi hupewe brief tu na wahusika,nae hutoa amri kutokana na maelezo aliyopewa,
Donald Trump ni mfanyabiashara tu ila anaiongoza USA pia ndio amiri jeshi mkuu wa jeshi la US ,mambo ya ulinzi hupewa brief na wahusika sio...
Mimi nimeongelea kua kwenye serikali hua hawaangalii umri bali ni cheo,kusema makandarasi wanamnyenyekea Kijana mdogo sio sawa! Hapo hauangaliwi umri bali ni cheo, sikua na maana ya kumtetea huyo RC kama ulivyoelewa wewe bali nilitoa maelezo tu kuelezea hilo suala!
Huyo ni HATER,ni mtu muhimu sana kwako,m prove wrong kwa kufanikisha kile yeye anakiponda kwako au kukukatisha tamaa,huyo dawa yake muonyeshe mafanikio yako kwa yale anayokukatisha tamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.