Habari za Hasubuhi waungwana,
Naa swali linanichokoa roho,ivi pale unapokua na mumeo mko kwenyeuwanja wa mahaba halafu mwenzio
baada ya kukuita kwamfano Fatma anakuita fayka inamaana ndio mtu wake wewe boya tuu hapo au mpaka
amfikirie huyo ndio bao upewe au inakuwaje? au pale anapo kuita...
Habari za hasubuhi waungwana,
Jana nilienda msibani huko magondo poromoka, nikiwa na shogha yangu cha ajabu shoga hatulii sehemu moja mara katoka nje mara kaingia ndani nikamuliza kwani vp mbona unawasiwasi kuna nini? Akanijibu hujui kama hapa ndio mpango mzima wanaume wengi hupatikana msibani...
Habari wana MMU,
Ivi mume anapokuuliza maswali kama "Ivi mke wangu ukisikia nna mwanamke au nimeoa utajisikiaje'?
anamaana anakutayarisha au anakuharifu au anakupima utakaposikia habari hizi?
au anakwambia ili ukisikia usiamini? manake baadhi ya wanaume wako na maneno kama hayo kwa wake
zao au...
Habari za kazi wana MMU,
Leo nimesikitishwa na wanawake wawili hapa kazini wanao gombea mwanamme mmoja,kwanza ilikua wanafanya siri
Mpaka ikawa kila mmoja anamjua mwenzie sasa yakaanza mashindano ya kugawa zawadi kwa mwanamme,Ghaliyah
Kanunua set bed room set Wafaa akanunua Sofa set imekwenda...
Mambo waungwana?
Mwenzenu nna ka mtihani,nna shoga yangu nikonae kama ndugu,alipata bwana kwenye FB
Mapenzi yaka dumu kwa miezi 5 wakamua kufunga kutaka kufunga ndoa shost wangu ndio
Mara ya kwanza anaolewa,alipokuja kuni shauri nikawanamjua bwana anaetaka kumuoa
Nikamwambia bora asubiri ili...
Habari za Weekend wana MMU,
Kuna swali nimelisikia jana wakati tuko kwenye party kuna jamaa alikua ana muliza mpenzi wake"Eti nani zaidi kwenye
sita kwa sita mimi au hao walio pita mwanzo? nilimuona mwehu mwanamke nae akajidai haelewi sababu X wake alikuwepo
akajitia nasikia mvua zitakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.