Mbio Za Urais: Prof. Lipumba Anakuja, Na Chupa Ya Maji Mkononi!16 October 2010
Na Maggid Mjengwa,
MBIO za Urais zimeshika kasi. Media imekazana kuandika habari za JK na Slaa. Habari za CCM na CHADEMA. Kuna aliye kwenye mbio wanamsahau, kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Ni Profesa Ibrahim...
Kwanza nianze kwa kusema kuwa lengo la huu mjadala sio kuchochea fujo na ningependa kutoa pole zangu kwa wale wote waliopatwa na maafa huko Mtwara. Mimi kwa mtazamo wangu, watu wa Mtwara inabidi wapongezwe kwa kuweza kudai haki yao bila ya kuchoka. Ni kutokana na upinzani wao, serikali sasa...
MGOMBEA urais wa CCM, Jakaya Kikwete jana alihamishia kampeni zake jijini Dar es salaam ambako aliahidi kuwajengea wafanyabiashara ndogondogo majengo ya kufanyia shughuli zao kwenye wilaya zote, huku akiahidin chanjo ya saratani kwa wanawake.Tayari wafanyabiashara hao wameshajengewa jengo kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.