Nashukuru kwa majibu MH waziri,Sasa kinachonishangaza haohao polisi wanaochunguza baada ya kwenda kuwauliza pale polisi kati Dodoma nao wamesema wamefuatilia(chunguza) wameshindwa kujua chochote mpaka Leo nini kifanyike.
MH waziri nikupongeze Sana kwa kazi nzuri Sana unayofanya kwa kushuka chin Huku kwenye jamii na kutoa ufafanuzi wa jambo muhimu kama hili unaitendea haki ofisi Yako na jamii kwa ujumla mawaziri wote wangefanya hivi natumai MH rais angefurahi Sana Sasa Mimi Nina jambo Moja nahitaji kidogo...
Huyu manzi si kiburi tu kisa mke wa meya na kwamba hawezi guswa na yeyote ikizingatia kesha wapakata baadhi tamisemi pale na ndiyo ukweli kwamba hata 2021 aliondolewa kupelekea chemba na akaaga walimu walifurahi Sana akafanya mchongo akabaki ndiyo akatoa makucha yake mala 100 kwa ufupi huyu mtu...
Baada ya kuusoma mkeka huu kwamba tuhuma zake Sasa zimepelekwa kwa mh Rais ameanzisha ghafra utaratibu wa kukusanya kero za walimu kwenye Tarafa wakati kero namba moja ni yeye na alivyo muhuni anaandaa na vyakula kwa ufupi mkurugenzi Dr Mashimba kuwa Makini Sana na huyo mtu utajishushia heshima...
Mbona mnambebesha Sana mizigo huyu mama kwa chuki zenu za kipumbavu simiyu Kuna mkuu wa mkoa,rpc,rco,rso nk kwanini msianze kuhoji huko!? au mnafikiri mtu akiwa raisi anavikwa uMungu kwamba atajua Kila kinachotokea? muda mwingine muwe mnaficha chuki na upumbavu wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.