Eti unaenda kupumzika marekani ina mana hapa hakuna?mbuga zote hizi badala utoe hizo hela zizunguke bongo unapeleka nje,muongo mkubwa wee mlikuwa mnataka kupeleka pembe zetu za ndovu
kijana anataka nafasi ya ngeleja hapo,kwa mchezo wao wa paka na panya inawezekana wameshakosa imani na ngeleja kama ana nguvu ya kuwatetea ipasavyo hadharani,now wanataka kumsulubu
Hili ni tatizo la kulelewa huyo gh analelewa na kibonde ni mafisadi wanamleaa,anyway ni njaa tu zinawasumbua mtu mwenye akili timamu hawezi kuongea kwenye media ule upuuzi,naungana na aliyesema kibonde hajua kama hajua
mimi mwanzo nilikuwa sina jina then ikaja scooby sasa ni alama ya kuuliza yaani(?) sasa hapo nashindwa kabisa kuelewa hataki kabisa kuniweka nijulikane ukiuliza anasema si matangazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.