Search results

  1. yungsteval

    Ajira za Wizara ya Afya

    Na wanaita kwa njia gani? Kupitia website ya Wizara au Utumishi?
  2. yungsteval

    Mnaotafuta kazi serikalini, zingatieni hili mtanishukuru

    Cha msingi tu kuwa na subira na uvumilivu Mungu anatoa kwa wakati na wala haujachelewa endelea kuomba kazi na ipo siku utakuja kufuta haya maelezo yako.Mimi nilikuwa mhanga kama wewe ila wakati ukipofika nilipata na sijawahi kuwa na connection na mtu yoyote wala sijawahi kuwa na ndugu anafanya...
  3. yungsteval

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kaka nimekutext PM please check
  4. yungsteval

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naamimi namshukuru Mungu nimepata....nawatia moyo wenzangu ipo pia siku yenu.
  5. yungsteval

    Utumishi zingatieni muda wa kumaliza chuo

    Kama chuo mlienda kukariri kwa ajili ya mitihani ndo tatizo lilipoanzia......mambo yanaulizwa ya kawaida sana sema tunakosa mbinu tu kwenye kujibu lakini pia time management
  6. yungsteval

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. yungsteval

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Utumishi wanajua zaidi yetu ni kusubiri humu kila mtu ni mjuaji wakt wenyewe wanatega PDF litoke
  8. yungsteval

    Ajira Portal

    Ednapo kwenye tangazo wamesema hivyo ni lazima....ila kama kwenye Tangazo haikusemwa hivyo sio lazima so depend na mwajiri anataka nini.....but ni salama zaidi kuweka certified.
  9. yungsteval

    Nimepata ajira Katavi, naomba kujua mazingira ya huko

    Mkuu ni hizi za Tamisemi au Zingine?
  10. yungsteval

    Usiporipoti kituo cha kazi, unaweza kuomba tena ajira hiyo hiyo?

    Njoo kasulu wewe.....mbona sisi tupo huku mwaka wa 4 huu
  11. yungsteval

    Natafuta website ya kufanya Psychometric Assessment for free na kupewa report

    Bila shaka ni AFRICOVID International hao.....kimbia fasta
  12. yungsteval

    Hizi kazi za clinica tracker chato ziliishia wapi?

    Habari wakuu eti Wenye kufahamu huu mchongo ulipoishia au waliajiri kimya kimys? Kumb. Na. CDC/05/20/89 Halmashauri ya wilaya ya Chato kupitia shirika la MDH Inawatangazia nafasi za kazi ya mkataba kwa watumishi wapatao 10 ambao watafanya kazi ya Clinical Trackers. Mkurugenzi Mtendaji wa...
  13. yungsteval

    Car4Sale Vitz inauzwa-Mwanza

    Nipigie itapoa kidogo
  14. yungsteval

    Car4Sale Vitz inauzwa-Mwanza

    Hongera kwa kukaa dar mkuu..... Na ww ni mzaramo et?
  15. yungsteval

    Car4Sale Vitz inauzwa-Mwanza

    Nipo ilemela tuwasiliane
  16. yungsteval

    Car4Sale Vitz inauzwa-Mwanza

    Tutuwasiliane kwa namba hapo juu
  17. yungsteval

    Car4Sale Vitz inauzwa-Mwanza

    Ww unayenunua gari kwa kuangalia plate number ni hatari sana... Kama unaona bei kubwa piga simu kuna maelewano.... Haina haja ya kumwambia mtu sio mzima kisa anauza kitu chake
  18. yungsteval

    Car4Sale Vitz inauzwa-Mwanza

    Mimi sio dalali kama unavyofikiria
Back
Top Bottom