Mfalme alienunua wachezaji wengi wa Simba fc akiamini atashinda ubingwa kiulaini, mfalme anaelalamika kila kukicha as if timu yake inakaribia kushuka daraja wakati tangu msimu unaanza timu yake ndio inaongoza ligi.
Kuna mwingiliano mkubwa wakiutendaji kati ya waziri na IGP, hao ma RPC ni wateule IGP na yeye ndo anawajua ndani nje, mwenye mamlaka yakuwatoa ni IGP kwa ombi la waziri co waziri kutoka vichakani na kutoa maagizo as if yeye ndo Sirro, hivi leo hi waziri wa ulinzi anaweza kuwaondoa mabrigedia...
TCRA wanadai anaendesha blog kwa domain ya dot com badala ya dot co.tz coz walishatoa maelekezo muda tu wenye blog wote wanatakiwa watumie domain ya dot co.tz yeye naona kagoma, so usishangae akipandishwa kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi.
Jamani hi ajali imetokea masaki leo alfajiri co ununio kama mleta uzi anavosema, hiyo gari ni ya CCDF mstaafu na alikua anaendesha mwanae, ambae nae ni majeruhi kalazwa muhimbili.
Huyo mchimba makaburi ameunganishwa hapo coz yeye ndie aliehifadhi silaha iliotumika kwenye tukio, kwa mujibu wa chanzo changu ni mchimba makaburi wa kisutu, na silaha ilifichwa makaburi ya kisutu baada ya tukio.
Niweke kumbukumbu sahihi. Huyo mzungu ameuwawa jana jijini Dar karibu na Shule ya IST Masaki sio Moshi kama inavyodaiwa.
Jana alitoka Arusha kwa ndege kumbe kuna watu walikuwa wanamfatilia tangu airport.
Inasemekana wauaji wamechukua laptop tu.
Nimepita hapo IST polisi wanaendelea kukagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.