Naomba kuuliza mliowahi kufika nchi za watu wengine huko, je wao pia husali kama watu wa huku kwetu?
Je huko pia misikiti imeweka mavipaza sauti kwa juu na makanisa hua na mispika mikubwa hivi kwa nje?
Kwa kweli mimi sipendezwi na hii ya watu kuswali/kuswali lazima wapigie watu wengine kelele...
Hakuna kitu kama hicho, watanzania wanataka mabadiliko na lowassa ndie mabadiliko.
Ataongea kisha kesho atapata coverage kidogo kwenye media hasa magazeti ya uhuru kisha atasahaulika kama lipumba.
Hakuna mtu alikua napendeka cuf kama lipumba, nwenyekiti wamausha wa chama lakini yuko wapi sasa...
Hivi magufuri hana chama ni mgombea binafsi au nini, mbona sielewi.
Wapenzi wa ccm wamekua wakali mtaani kama mtu anaetaka kufa, wamekua wachungu, wanatukana na maneno mabaya yote.
Kweli nimeamini kitu kikitaka kufa huwa kikali sana ili kuokoa maisha yake lakini unkuta muda umemuacha.
Ccm...
Lowassa aongee asipngee mimi na familia yangu na ndugu zangu tunampa kura. Sihitaji rais muongeaji mimi.
Kuongea waachie kina hugo chaves na castro. Lowassa aongee au hata awe bubu kuanzia sasa kura yangu anayo.
Watu kama mpangu wako hivyo walivyo kwa kua wako hvyo, nothing happens by chance, kila kitu kilipangwa toka mwanzo,aliepanga alijua kuna watu wasio na akili kama mpanju.
Uahawahi kuwinda? Wawindaji wakienda porini kuwinda chakwanza unapiga risasi mnyama alie karibu na wewe. Sasa unataka baba nyumba aende kutafta wanyama mbali wakati kuna mnyama nyumbani, kwanza ua mnyama alie karbu nawe kisha fuata wanyama wa mbali.
We acha kabisa, ukawa wametuvuruga hatuna hamu ndio maanabtunaandika mambo ya hovyo hovyo humu.
Mimi toka lile tukio la jana la ukawa nilivyovurugwa hata kingereza nimesahau.
Mimi lowassa hata ikitokea akawa bubu sasa,akawa mlemavu, akavunjika miguu na mikono, hata ikiwa atakufa tarehe 25 au 26 bado ntampigia kura.
Sihitaji hotuba wala chochote kutoka kwake kumchagua. Lowassa we love you dearly. Dead or alive i will vote for you.
Mwambie kila mtu anakula maeneo yake ya kazi.
Mmwalimu anakula wanafunzi, manager wa bar anakula wahudumu,hr annakula wafanyakazi,polisi anakula wahalifu,daktari wagonjwa.. Kila mtu anakula kazini kwake.
Mkuu mbona zile mada zako za kiutafiti mbona sizioni siku hizi, Kweli Lowassa ni kiboko, kwisha habari yako.
Ccm si mna hela nyingi mmeiba juzi juzi za escro hamuwezi kumnunua au aliwashinda dau mkashindwa kumretain. Ccm choka mbaya. Mnanunua magalasha tu kama lipumba manyoka ya kibisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.