mr Tilya wa uru sec yani alikuwa tatizo.
mr Mbarouk wa st.matthews ndo shida zaidi,mwngne mr.Ramadhani tiamaji matthews nae....o level st.matthew's ni mr. Peter mnoko atari na mr.Kaijage loh ctawasahau hawa watu kwa waliyonitendea mpk nimefika huku nilipo
mpeleke ST.MATTHEW'S ipo kongowe atatulia mwenyew na haina hata duka la shule la maana zaidi hata kuspend sana ni elf 5 labda kwa siku tena hapo ndo huli chakula cha shule.wanalea vzur sans
St.john's yalitoka majina manne tuu ya wahitimu waliopangiwa shule,hivyo ilibidi waende dodoma chuoni wakafuatilia kwa umoja wao majina yakapelekwa tena na kufuatiliwa na uongozi wa chuo na wanafunzi hadi wakafanikiwa.pole sana endelea kufuatilia na kuwa na subira huenda wanamalizia kukamilisha
mtafute uwe unafanya jukumu lako kwake kama mlivyokubaliana,na umpe pole kwa kuumwa then uwe kila baada ya muda unamtumia km ni ela au vyovyote mlivyokubaliana na dada ako,chuo kitaisha tuu muda cyo mrefu fanya uondoe lawama za chini kwa chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.