MUUNGANIKO WA MAPACHA WAWILI: Zitto & Maalim: HISTORIA MPYA?
Na. Dr. Goodluck Kateti.
KUNA kila dalili kwamba muda si mrefu kutoka sasa, Makamu wa Rais na Waziri Kiongozi mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Shariff Hamad, atajiunga na Chama cha ACT Wazalendo kufuatia...
KUTOKA KWENYE TIMELINE YA DADY IGOGO
ACHENI MAJUNGU... MTAFUKUZWA NYIE MTAMUACHA MKWE WA SLAA
Dady IgogoAugust 15
TAMKO LA MCHANGE.
Nimesoma kwa makini sana tamko la Habib Mchange sijaona kipya. Nimekuwa nikipuuza sana kwa muda mrefu matamko au post zake coz zimekuwa na mwelekeo wa...
Dady Igogo7 hours ago
PROPAGANDA ZA KITOTO.
Ningekuwa na akaunti JF, pengine ningejibu... unfortunately am not member... Naona wameanza kuniambia kuwa nimetumwa na Mchange!!!! KICHEKESHO! Mchange is not my size and type!! Mnataka kuwajua marafiki zangu? Marafiki zangu wa karibu ni MCH...
Salamu wana JF!Kamati Kuu ya Chadema inakaa kesho, pamoja na ajenda zingine muhimu ni kukaa kama kikao cha kwanza cha uchujaji wa majina ya wagombea wa BAVICHA - Taifa.Ushauri wangu kwa KAMATI KUU YA CHADEMA:-Mosi, kuzuia wabunge kushiriki kwenye ajenda ya Uchaguzi wa Bavicha ambao tayari...
Hongera sana Nyakaurungu. Tupeni taarifa kamili. Its very sad. naamini justice itafanywa na serikali, ikishindikana itafanywa na wananchi wa Tanzania (MARA).
Nape. kwanza, Soma vizuri Katiba. Kichwa cha habari na maudhui yako hayalingani. unahitaji elimu ya ujuzi wa uandishi. its a statement not a question, that means you have came to conclusion. sasa nisikilize! Maandamano yanamaanisha Kulaani, kupinga, kukubali, kutoa hisia za moyo! Tarime kuna...
Chadema is not a gang but a political party. we are strong and openly support the movements of CHADEMA. CHADEMA is operating the party not institutuonaly 100% but as a movement party. it needs a movement party to move out CCM out of power in Tanzania.
Wana JF:
Kuna tetesi kuwa baadhi ya wagombea wa Uenyekiti, Umakamu na Unaibu wanaweza kuenguliwa kutokana na ushahidi kuwa wameanza kufanya kampeni mapema - wanaotajwa kuenguliwa ni John Heche, Habibu Mchange, Saanane, Joshua Nassari na Dady Igogo.
Waraka kama huu wa Dady Igogo kwa wajumbe...
NUKUU ZA HOFU ZA JAKAYA MRISHO KHALIFAN KIKWETE KUHUSU CHADEMA.
ZIFUATAZO NI NUKUU ZA HOFU ZA JK, KWENYE HOTUBA YAKE YA JANA KATIKA KIPENGELE CHA HALI YA USALAMA WA TAIFA HILI NI WAZI AMEANZA KUSHINDWA. ANAOGOPA UTISHO MKUU WA KISHINDO CHA CHADEMA!!!!!
..kauli na...
the university Act of 2005 prohibit any students or staffs not to engage or involve in any political parties affairs and the things related. no flag or parties uniforms shall be.......................
But ni ngumu kuwakamata, inatia moyo sana. siyo zama za kuogopa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.