Kada kiherehere wa CCM Lucas Mwashambwa umeonyesha roho ya kishetani kutumia kisiasa msiba uliotokana na ajali mbaya kabisa kule Arusha. Chadema walishapanga maandamano yao kufanyika kesho tarehe 27/02/2024 na wamepata vibali vyote husika.
Chadema wamekuwa wa kwanza kutoa salamu za rambi kwa...
Kuna nyumba ya ibada hapa Mwenge Mpakani inalaza wagonjwa na kufanya vipimo vya MRI,CT Scan,X-ray, Ultra sound vya kienyeji. Bei ya vipimo hivi ni Tsh. 10,000/- kila kimoja,mgonjwa akipatikana na maradhi kutibiwa kwa kitu kinaitwa package ambayo ni kachupa ka asali ka ujazo wa ml 10 na bei ni...
Jana tumeshudia mapovu mithili ya watu waliofakamia omo toka vinnywani wa wahafidhina wa CCM. Tuliaminishwa kuwa kikao cha bunge siku ya tarehe 10 June ni mahsusi kwa kujadili na kuelemisha umma juu sintofahamu iliyojitokeza juu ya mchakato wa ubinafsishaji wa bandari zetu.
Lakini kwa mshangao...
Mwanaume na mwanamke ambao wako kwenye mahusiano wakikaa hivi ni jambo la kawaida sana,jee kwa wanaume tupu miguu kuingiliana hivi inaashiria nini? Halafu huyu mmoja anamuangalia mwenzake kwa matamanio makubwa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.