Ni kweli pale Temeke nafasi ipo kubwa kuna garage bubu.Kifupi kupeleka stendi Kijichi wamechemsha na lawama hawatozikwepa mbele ya safari.Hawawezi haribu miundombinu kirahisi ipite hivi hivi tu.
Ajabu kila mmoja anashangaa,wakazi wa maeneo hayo pia wana manung’uniko ya foleni.
Mabasi mawili hayawezi kupishana vizuri kwa ufinyu wa barabara,lakini pia watu wanapotoka makazini kupitia njia panda ya Neluka wanakumbana na adha ya foleni kwa uwembamba wa barabara.
Sijui hata kuna siri gani...
Habari jamvini,
Kama heading inavyojieleza,stendi ya Kijich itakuja kuwatia lawamani kama sio kitanzini.
Barabara za Kijichi vibao vinaonesha mwisho ni 10t lakini cha ajabu yanaingia mabasi ya mikoa ya kusini ikiwa na mizigo pamoja na watu zikijaa.
Ni kweli tunataka kusanya kodi lakini je...
Habari wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Nimesikitika kusikia kauli kama hiyo inayotoka kwa mtu ambaye hata Bunge limempa hadhi ya kukalia kiti na kuliendesha Bunge tukufu.
Kama Mh.Zungu hana taarifa sahihi ya kitu kidogo kama hiki je mambo mangapi ya msingi na yenye tija kwa...
Hili tangazo linarudiwa zaidi ya mara 3, hapo lazima kuna tatizo tena haswa upande wenu wa HR. Haiwezekani same post mnalibadilishia date of application tu.
Kuna rafiki yangu nilishamsikia akisema mnatoa offer ndogo mnoo na hii ndio sababu ya kutopata watu hadi sasa zaidi ya freshers from...
Kaka Oluoch kwanza pole sana.Pili nadhan una uvumilivu wa hali ya juu kupita maelezo(mwaka mzima)unamdai tapeli na bado kakuBlock ukavumilia tena.
Ninachokushauri katoe taarifa polisi huo ni uwizi hauna mjadala,suala la usajili wewe halikuhusu.Hivi kuna mshiriki yeyote wa BBA au bongostarsearch...
UONGO UONGO UONGO NA UPUUUZI mada yako.
Naitoa kwenye hata tetesi sababu UNGA huwa unatokea nchi za Brazil,Pakistan n.k then hupelekwa nchi zetu za Africa au ulaya kwengine.Sasa unakuja na uzushi kuwa kabeba unga tumboni akauze Brazil, non sense hujui kutunga uongo.Hii ni sawa na ubebe lori la...
UNAPOKUWEPO FAIZAFOXY jamvini mimi huwa narelax tu.Huwa unawapa data halisi wanakimbia mwishoni! Nilitaka kuwajibu kwa maswali ya kipumbavu yao lakini wewe ushafunga mjadala. Kula like 5,0000,000.
Kama kuna mpuuzi na mdini humu jamvini wewe unaongoza.Always unaAttack Muslims tu.Ramadhan imeanza kufungwa leo znz?Usiwe kama mkasi hukati mpaka ushikwe nyuma wee.
Ndio shida yako kafiri wewe.Mtu akifata dini yake inavyotaka utasema mdini.Hivi huyo Omar angekuwa mdini angesimama hata karibu na Msando apo? badilika jamaa we na chuki zako zidi ya waislam.
Anayefufua yesu aliyeshindwa kujiokoa kwenye nguzo kama popo?Gwajima nae yesu?si anafufua watu nae.Kweli kuwa kafiri lazima kichwani fuse zikate kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.