Nafikiri zembwela na kitenge ni watu wa aina moja, kitenge anahitaji mtu wa kumchombeza na kumfunga mota, hawa wawili sync vizuri.Gerald hando alikua anamfunga mota kitenge, musa anamchombeza, chemistry haipo sawa kwa sasa
Kuna wimbo nafikiri alishirikishwa inspector haroun verse ya mwisho inspector anaongea kama muhubir anasema"wanaokula kuku moshi wote nawajua" na kuna mistari inasema "hizi ni siku za huku za mwisho ole wao waofanya mabaya" kama sijakosea naomba mwenye nao anisaidie
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.