Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
Vyakula/matunda na tiba zake special thread
H Huuu mmea nauheshimu kuliko mingine ninayoifahamu,unanipa ujasiri wa kukaa sehemu yoyote bila bughdha,nilidhani ni mimi tu naufahamu!!
Makuku Rey
Post #18
Tuesday at 9:54 PM
Forum:
Jamii Health (Jukwaa la Afya)
Wadada, mnataka dakika ngapi?
,🤣🤣🤣Mbona chai haijai kwenye kikombe?
Makuku Rey
Post #13
Monday at 7:26 PM
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
RC Halima Dedengo: Mwanafunzi ukipata mimba mshitakiwa wa kwanza unakuwa ni wewe
Kwa hiyo anamaanisha aliyekula na aliyeliwa wote wana makosa?!😃
Makuku Rey
Post #32
Monday at 6:41 PM
Forum:
Jukwaa la Siasa
Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?
😀😀😀Ni hatari tupu kwakweli.
Makuku Rey
Post #284
Apr 19, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?
Ukimuona mtu kashika chain saw anakatiza mitaa yako unaanza kumfuatilia anakoelekea😃😃😃😃
Makuku Rey
Post #278
Apr 19, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Yapi ni maji bora kwa ajili ya kunywa?
Mimi nilishakimbia mjini mkuu,naishi nje ya mji kabisa!55kms from Mbeya town,ubavuni kabisa mwa mlima Rungwe,huku maji siyo changamoto kwa kweli.
Makuku Rey
Post #43
Apr 10, 2024
Forum:
Jamii Health (Jukwaa la Afya)
Yapi ni maji bora kwa ajili ya kunywa?
Mi binafsi situmii maji ya kopo,bomba wala mvua.Natumia maji ya chemichemi,visima na mtoni baaasi,kwangu mimi hayo nahisi yako poa
Makuku Rey
Post #4
Apr 10, 2024
Forum:
Jamii Health (Jukwaa la Afya)
Akutwa akimbaka mtoto (binamu yake) baada ya kumrubuni kumpa Shilingi 1500
🤣🤣eti ameanzaje kumtamani!!tamaa ni involuntary action mkuu.
Makuku Rey
Post #39
Apr 6, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Tumetoka kusali jumuiya kwa Baba ambae ni Mkatoliki na Mama ni msabato. Kiukweli kipengele cha kuangalia dini kwenye mahusiano ni cha muhimu sana
Mi nadhani mkatoliki hatakiwi kuchanganywa na wakristo wengine!hata ndoa ya mkatoliki na mlokole ni mafuta na maji.
Makuku Rey
Post #32
Apr 6, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Naomba kujua kwanini ukimtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la 10% kutoka katika Mshahara wako huku ukiwa na Furaha nae hukubariki maradufu?
Mtoa mada alipie TANGAZO.
Makuku Rey
Post #40
Apr 5, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Mwamba anayeruka na mkeo hatoki mbali; ni huyo huyo rafiki yako unayemwita wa kufa na kuzikana
Yeye ndo anampigia rafiki yake
Makuku Rey
Post #20
Mar 24, 2024
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio
Mbona hivyo viganja kwenye picha vinafanana na vyangu,kwa hiyo wewe ni mtoto wangu?
Makuku Rey
Post #135
Mar 24, 2024
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?
SG9+,sijui wanatengenezaje mkwanja hawa
Makuku Rey
Post #133
Mar 24, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Serikali yaanzisha Tahasusi (Combination) mpya 49, sasa zitakuwa 65
Mbona hushangai BIOLOGY kuwekwa tahasusi ya MICHEZO?!!
Makuku Rey
Post #106
Mar 20, 2024
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Yanaitwa Majiji Ila Mwaka Unapita Ujenzi wa Magorofa Mapya Hayafiki 10. Mbeya & Tanga Mjitafakari, Mnazidiwa Hadi na Morogoro
Pambeye pinza🥵🥵
Makuku Rey
Post #163
Mar 18, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Saa za mwisho za mpendwa Magufuli zilijaa maumivu na majuto mengi
Fafanua hapo pa KIROBOTO na MAMA,ni kama mtu na mwenzie🙄
Makuku Rey
Post #62
Mar 17, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
WB: 2050 Tanzania Itafikisha Watu Milioni 140. Yatoa wito kudhibiti kasi ya Ongezeko la watu na uzazi
Elimu tunayoipata haiendani na mazingira yetu ndiyo maana hatuwezi kujifanyia maamuzi wenyewe mpaka watusemee WB!!
Makuku Rey
Post #89
Mar 12, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Naomba ushauri hili jambo linanifikirisha
Uchawi wa uswahilini ni wa kukabana tu😀😀,uchawi wa mauzauza na viini macho upo sana maeneo ya Isyesye,nna experience na maeneo hayo😀
Makuku Rey
Post #58
Mar 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Naomba ushauri hili jambo linanifikirisha
Kuna mauzauza sana pale mkuu,shida nadhani ni wakinga wamejenga sana maeneo hayo
Makuku Rey
Post #49
Mar 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Naomba ushauri hili jambo linanifikirisha
Hii itakuwa isyesye😀,
Makuku Rey
Post #35
Mar 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
1
2
3
…
Go to page
Go
25
Next
1 of 25
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back