Search results

  1. T

    Hapa kazi Tu hadi kwenye kufunga ndoa....

    makanisa yana mambo lengo alikua baya ila linataka marekebisho Mungu mwenyewe anasamehe iweje nao wasisamehe Mengine yalikuwapo enzi za Musa ila baadae yaliwekwa sawa bora wawaacha wazae kwanza waungame na wafungishwe ndoa baadae wachungaji wenyewe siyo ajabu walizaa kabla ya ndoa a ndio...
  2. T

    Bilionea fisadi wa Tegeta Escrow, Rugemalila awa mfadhili mkuu wa CHADEMA

    acha upuuzi rugemalila ni mhaya anakaribishwa kama mwanabukoba acha unafikivmi mwenyewe nipo bukoba
  3. T

    Bilionea fisadi wa Tegeta Escrow, Rugemalila awa mfadhili mkuu wa CHADEMA

    acha upuuzi rugenalila ni mhaya anakaribishwa kama mwanabukoba acha unafikivmi mwenyewe nipo bukoba
  4. T

    May 2016 bless me with a husband!

    ukiomba kwa moyo utapata ila punguza ushikaj kwa Muumba wako tia adabu
  5. T

    Nashindwa kukusamehe nashindwa kukuacha

    where silence can do better do not tell the truth
  6. T

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    sasa ni dhaili kuwa elimu ya tz itaimalika tena amakweli rais wetu ni genius na anaipenda tz Mungu amlinde
  7. T

    mwenye material ya CPB ya TIOB

    mwenye ayo materials anaisaidie jamani nataka mwezi january ili may nifanye
  8. T

    NBAA November exam results out

    japo watu wamefail sana wahusika cheki kwenye web yao
  9. T

    Agizo lingine la Serikali ya Magufuli lapuuzwa

    uwezi kulipia izo ela peleka mwanao panapokulingana bwana izi ni enzi za kiubepali
  10. T

    Ndoto yangu kwa mwanaume alieniacha miaka mitano iliyopita

    dhambi ya kutosamehe inakuandama usipo itubia inakupeleka jehanam
  11. T

    Dr. Mwaka, tunaomba majibu hapa tafadhali

    good explanation i like it
  12. T

    Majungu ya Kigwangalla kwa Dr. Mwaka sio jambo zuri

    watu walio komaa miaka saba au mitano alafu awajapata mwanya wa kupiga ela kama mwaka mala nyingi uwa na wivu mi nadhani mwaka yupo sahihi na kijana mbunifu
  13. T

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza kwa Dr. Mwaka

    nilisikia uyu jamaa ni dr professional
  14. T

    Katibu mkuu wa ardhi ajiuzia v8 mil 5, limetengenezwa kwa mil 55

    sheria iliyopo ya uuzaji uwenda inampa loophole ya kufanya ivo
  15. T

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    siyo kweli uyu mama akukubali upuuzi wa kualibu elimu akaamua akae pembeni
Back
Top Bottom