makanisa yana mambo lengo alikua baya ila linataka marekebisho Mungu mwenyewe anasamehe iweje nao wasisamehe Mengine yalikuwapo enzi za Musa ila baadae yaliwekwa sawa
bora wawaacha wazae kwanza waungame na wafungishwe ndoa baadae
wachungaji wenyewe siyo ajabu walizaa kabla ya ndoa a ndio...
watu walio komaa miaka saba au mitano alafu awajapata mwanya wa kupiga ela kama mwaka mala nyingi uwa na wivu
mi nadhani mwaka yupo sahihi na kijana mbunifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.