CCM ni moja ya chama kikubwa barani Afrika na pia ni moja kati ya vyama vichache vya ukombozi ambavyo vilipigania uhuru na bado vipo madarakani mpaka leo
Umahiri huu wa chama cha CCM haujaja hivi bali ni kuwa na structure nzuri ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka ngazi ya kata lakini pia...
Sijui ni ndoto ama lah ila hawa ndio wabunge wa jimbo la Moshi Vijijini na Vunjo. Japo lakini mimi sio mpiga ramli. Dr Kimei nimefanya nae kazi alikuwa boss wangu CRDB na Comrade Victor Tesha nimesoma naye secondary na chuo kikuu na kufanya kazi pamoja wote; najuwa ni watu wa namna gani ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.