prince kyextcatted
New Member
- Dec 12, 2013
- 3
- 4
Sijui ni ndoto ama lah ila hawa ndio wabunge wa jimbo la Moshi Vijijini na Vunjo. Japo lakini mimi sio mpiga ramli. Dr Kimei nimefanya nae kazi alikuwa boss wangu CRDB na Comrade Victor Tesha nimesoma naye secondary na chuo kikuu na kufanya kazi pamoja wote; najuwa ni watu wa namna gani ndio maana nawiwa kusema hivi.
Nawatakia kila la kheri.
Nawatakia kila la kheri.