Enzi za mwalimu ulionekana mrembo na mchapakazi hodari,
Enzi za mwinyi ulianza kujirahisisha na gharama zako zikashuka kwa huruma zako, kila mwenye pumzi alipata ahueni ya maisha.
Dead CCM,
Enzi za mkapa ulianza tabia mbaya ukajiona umepanda bei, ukawadai wasion a uwezo wakulipe pesa mingi...
Huo ndio uongozi na dhammana, nashangaa hawa mashemeji wanalindAna wakiamini kuwa hawajaiba huku evidence zipo.
hongera lowasa you were right na walikuonea
Katika kile kinachodaiwa kuwa teja ni mdokozi mzuri sana wa mali za watu leo asubuhi nimeshuhudia mateja wakisombwa na magari ya polisi eneo la magomeni, huku watu wa karibu wakisema ni kutokana nw kuzagaa kwa ndugu hao maeneo hayo na kuvuta madawa hadharani.
Niliwashuhudia pia wengine...
Kwa wale ambao hamjawahi kufika daressalaam au mmefika kipindi hakuna mafuriko basi hiyo ndio hali halisi ya mji huu wa kizaramo,,,,, ambao umejaa kila aina ya kinyaa na starehe,,, kinachoumiza vichwa sana watu ni jinsi maji yanavyotuama na kukosa mwelekeo. Sio ajabu kusikia kwa matajiri wakuu...
Wakristo leo tunaungana na wenzetu duniani kote kukumhuka mateso aliyopitia bwana Yesu kristo pale msalabani, kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu.
Tukiwa na roho ya upole ila yenye ujasiri wa kweli tuelekee katika sikukuu hii kwa furaha kubwa pasipo uvunjifu wa amani kwani yesu hakutuachia roho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.