Search results

  1. Vandetta

    Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

    Lakini mama amerejesha democrasia na amani, yote yamebaki historia. Mama anaupiga mwingi
  2. Vandetta

    FT: Simba SC 3-1 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | 12.03.2024

    Chama akikutana na timu mbovu utampenda...
  3. Vandetta

    Ni kwanini makapenta (Mafundi Seremala) wengi wao ni matapeli?

    Pole sn , mpk leo sijapewa kitanda kutoka kwa fundi yapata 3 yrs now, na ni jamaa yangu wa karibu, carpenter wamezidi kwa utapeli siku hz nanunua ready made furniture tu.
  4. Vandetta

    Wilson Oruma: Viongozi Simba wafanye maamuzi magumu kwa Chama

    Ni kweli, Pia huwa anaonekana wakicheza na vitimu vidogo dogo.
  5. Vandetta

    Tukifuata ushauri wa professor Janabi tutaangamia kwa njaa

    Jamaa kuna mambo anatupeleka chaka kwa wanaojua mambo ya biology wanacheka chini chini 😂, kwanza huyu ni mtaalamu wa lishe au cardiac issues??
  6. Vandetta

    Huu umeme wamekata nchi nzima?

    Poleni watu wote wa Muembe Mchomeke😀
  7. Vandetta

    Ugomvi wa Zanzibar na wamasai ni mwendelezo wa Ubaguzi

    Wamasai wanaacha asili yao wanaenda kudhalilika huko ugenini. Kwa kulinda asili ya kimasai naomba watimuliwe wote huko Zenj warudi maporini, as long as utalii wazungu watafuata huko 😀
  8. Vandetta

    FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

    Lile jinga lilikuwa linanikera sana. Halina uzalendo kabisa yani upo vitani halafu unasifia silaha za adui
  9. Vandetta

    Hatimae nimeamua kuandika kitabu kuhusu mtindo wa maisha ya watu wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania

    Wewe kweli mtu wa Kusini, umetaja sifa mojawapo hapo... Ni wagumu sana kutembelea kwao wakifika mjini.. wakifika mjini wanalowea huku😂😂😂
  10. Vandetta

    Russia itaanza Airpatrool milima ya golani na mpaka mwa Syria na Israel

    Mayahudi kibao wanaompa kiburi putin ndo hao hao wanaua watu wasio na hatia katika uvamizi wa ukraine???
  11. Vandetta

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Mbona mmesanda? Mudavadi alimtafutia nini Makamba?
  12. Vandetta

    Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

    Kenya tuliwalegezea sana ... hawa wanataka "weka ugoko niweke chuma"
  13. Vandetta

    Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

    WaTZ wastaarabu sana tena wamepewa mpk Jan 22, ilibidi iwe papo kwa hapo hakuna KQ kutua TZ tena kwa viwanja vyote.
Back
Top Bottom