15m nyumba ,Tandika ipi hyo? Fanya utafiti vzur, me nakushauri , kodisha hyo nyumba uanze na biashara ndogo ndogo kikubwa inabidi ukubali maisha ya chini ukijipanga.
Pole sn , mpk leo sijapewa kitanda kutoka kwa fundi yapata 3 yrs now, na ni jamaa yangu wa karibu, carpenter wamezidi kwa utapeli siku hz nanunua ready made furniture tu.
Wamasai wanaacha asili yao wanaenda kudhalilika huko ugenini. Kwa kulinda asili ya kimasai naomba watimuliwe wote huko Zenj warudi maporini, as long as utalii wazungu watafuata huko 😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.