Nilichomeka kwenye umeme remote ili kuingiza unit ikapiga shoti.
Ikotoa moshi.
Baadae ikawa haipokei umeme kabisa na wala betri haikubali.
Nikaenda kuripoti physically ofisi za Kigamboni wakanambia hakunaga spea ikifa ndo ishatoka..
Wakanielekeza namna ya kutumia remote ya jirani ndo...
Elimu ya kidigitali.
Mambo meengi yamebadilika.. Mwee!!
Akichelewa kudamka asubuhi akaachwa na basi la shule, naadhibiwa mimi..
Natoa pesa yangu mfukoni ili apande bodaboda awahi vipindi.. Tena wakati mwingine inanibidi nichome mafuta yangu kumuwahisha.
Asipofanya homework mara kadhaa, naitwa...
Mkuu.
Wilaya zetu nyingi hazina viwanja vya kuutoshereza umati wa ukawa.
Na endapo atafanya hivyo jeshi la polisi litatengeneza matamko mengi sana.
Sipati picha eti Lowasa aweke mkutano Biafra au Machava pale Kigamboni.
Ndicho anachikifanya Magufuri huku kwetu.
Kafanya mmoja Tunduma...
Niliwahi kuisikia kesi kama hii kwa mtu wa karibu na familia yangu.
Tofauti yeye ilikuwa ni laini ya airtel.
Jamaa alikuwa anaenda airtel anafunga baada ya muda anashangaa rafiki mwingine kishatapeliwa.
Cha msingi wataarifiwe ndugu na jamaa wote.
Na wao wawataarifu jamaa wengine.
Huu mchezo...
Mafuriko.
historia inaendelea kujiandika.
sipati picha mawaziri wa zamani wawili wakihama chama ndani ya mwaka mmoja.
haaa haaa!
Tuwangoje Maraisi Mwinyi na Mkapa.
Manake sijawaona kujishughulisha na kumpigia kampeni Magufuli.
Mkuu siwezi baki hivihivi.
Sehem za kutembelea zimeisha kwani?
maeneo ya namna hiyo mimi naenda kikazi tu.
Lakini siyo kwa kuzichanga.
kwa taarifa yako hata hali ya kisiasa ilivyo huko bongo kuelekea uchaguzi mkuu imepunguza kasi ya watalii kuingia nchini.
kwahiyo usinione mi mshamba saana kwa...
Kichwa alikuwa nyerere.
Anahutubia bila kipande cha karatasi.
Anaongea facts tupu.
Hotuba zinasisimua hata baada ya ma karne kupita.
Huyo rais wako asilimia kubwa ya hotuba na matamko yake anayajutia.
Mojawapo ni hiyo ya mayai ya samaki.
Huo Ukichwa unaouona sisi huku kwetu alitwambia kama...
Wastaafu wamemsusia kazi. (Ben na Hasan) wako kimya. Komba ashatagulia kwa Bwana. Yeye ndo anazurula na mabua. mpaka anasakata dansi jukwaani. Kampeni za awamu hii zinamkosti sana mkulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.