Wadau naomba melezo kidogo maana nashindwa kuelewa. Hii ni ile style miguu inaangaliana kwenye vidole gumba na visigino vinaachana mbali. Binafsi naona wanatembea vibaya sana na haina mvuto kabisa. Labda ni mimi tuu.
Je, ni fasheni, ugonjwa, kukosa uvungu mguuni au ina mahusiano na style za...
Mwalimu wa Arusha day amepata Ajali mbaya baada ya bodaboda alokua amepanda kugongwa na teksi mida ya saa 10 unusu jioni hii. Yeye na dereva bodaboda wamekimbizwa mt meru. Kaumia sana kichwani. Mpanda bodaboda Kaumia kdg mguuni. Arusha leo ni pepo la Ajali tu.
Mwenye makosa kwa bei ya macho ni...
Salaam. Ramadhan kareem kwa waliofunga.
Imenibidi nilete hili maana nilipata wakati mgumu sana kumchagulia mwanangu jina. Dini inataka nitumie majina ya kizungu zaidi (watakatifu), mtaani walishaanza kumpa jina la kizungu, ndugu walitamani nimpe la baba yangu ambalo pia ni la kigeni. Binafsi...
Nimekua mfuatiliaji wa JF kwa muda na nimeamua kujiunga rasmi. Tafadhali naomba ukaribisho na mawaidha yenu wadau kabla sijazama majukwaani. Asante​ :smiling:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.