"......haya ni maneno yalitamkwa kwenye Bar moja jijini Dar es Salaam na Dr. Shaba (surgeon) daktari bingwa wa maswala ya upasuaji
Yaani kumbe maneno yenyewe ni ya kwenye Bar......??
Nimefuatilia ndoto nazoota zaidi ya miaka 10 sasa, zina maana kubwa sanaaa! Siwezi kuacha kufuatilia ndoto..........kuna baadhi ya mambo unaota leo then kesho yanatokea kweli.
Kuna kipindi nilishaota jamaa yangu mmoja anapatwa na janga flani kubwa sana nikapuuzia.......aisee kilichokuja...
Yan mwamba mpaka amemiliki boda bado unaona hajafanya kitu? Mpe maua yake aisee labda kama na ww ulitaka upate mgao. Kuna watu hawajawahi hata kununua shati na hiyo hela ya betting yeye ana kitu cha kusimulia aisee
Mimi BM 150 ya kwangu nilinunua 2015, kuna jamaa yangu alinunua baada ya mwaka mmoja baada ya kuwa inspired na ya kwangu, Mwaka jana ameuza ya kwake na kununua hizi toleo jipya gear 5 huku akinishawishi na mm kuuza ya kwangu, nimemwambia kama toleo hili la zamani linapatikana dukani basi nitauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.