Nawapa kwanza pongezi kwa kuchaguliwa kuwa wajumbe wa bumge maalumu la katiba,hakika mimi naamini mnastahili lakini kila mmoja wenu anao uwezo wa kunichunguza na kunipima katika mzani na kuona alistahili au la.
Hiyo yote haijalishi nawapa pole kwa kazi ngumu mlio nayo ya kutupatia katiba...
Bunge maalum la Katiba leo limepata mgeni kutoka Kenya mh. Amos Wako ambaye alikuwa mwanasheria wa Kenya na alishiriki katika mchakato wa kuandaa katiba.
Lengo la ujio wake ni kutoa fursa kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kujifunza jambo alilolifanya akiwa Mwanasheria wa Kenya aliyeshiriki...
Kweli kabisa laiti kama serikali ingeweka sheria ya namna hiyo mambo kama yale yasingefanyika,sasa wameifanya kama the source of income kwa kuzidi kuchezea mda.
Nimekaa kimya nikiwatazama wachangiaji na malengo yao nini hasa,kwani wanapoteza mda na kodi za wananchi.
Ifikie wakati wajitambue wapo kule kwa ajili ya nini na ni kwa nini,na kwa faida ya nani, wanaharibu hali ya hewa ya nchi pasipo wao kujua,pia wajue kuongea kwingi sio kujua sana.
Mtiririko wa matukio wa Chama cha Chadema umenipa hofu sana na kunikatisha tamaa kwani chadema imepoteza mvuto sio Chadema ile ya Bwana Zitto na Slaa niliijua mimi
Wamefanya kampeni kwa gharama kubwa lakini hakuna walichoambulia ukilinganisha na gharama za kampeni,sasa hivi wapo Kalenga...
Kwa jinsi nilivyoitazama hii movie nzuri ya kuvutia ya meli ya chadema inayoongozwa na captain mbowe,baada ya kuona kuwa usukani unataka kushikiliwa na mtu mwingine,kafanya kila mbinu ili amtose kijana zzk baharini, lakini kutokana na akili aliyo nayo kijana zzk anamjua vizuri kiongozi wake...
Kakobe kobe mdogo,kibaiologia kobe mdogo ni jinsia gani?kakobe punguani yule hana lolote toka alipotabiri kuwa Mrema atachukua nchi ikashindikana amefeli,anatafuta namna ya kutoka tena,too late.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.