Wanajamvi katika wikii hii imeshuhudiwa operation ya kukamata wale wote wanaouza mafuta ya petroli na dizeli maeneo mabalimbali mkoani Dodoma.
Sina hakika kama zoezi hili limefanyika na Dodoma town lakini pembezoni mwa mwa mji hili zoezi limefanyika ambako kamanda wa polisi wa mkoa ametangaza...
Hodi wadau wa JF.
Naomba kuulizia nawezaje kumpata mpiga picha (still pictures) na video za shughuli za harusii mjini Dodoma.
Kwani natarajia kuwa na shughuli ya harus mjini Dodoma.
Vile vilee wapi naweza mpata kampuni au mtu wa mapambo ya sherehe za harui hapo hapo Dom
Naomba kuwasilisha kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.