Uchaguzi 2020 utakuwa mgumu kwa ccm kupita maelezo... labda waongeze hiyo miaka 7 .. tatizo wameongea sana kipindi hiki . Wananchi wamahamu sana kuwasikia wapinzani ...
Ushauri kama upo halmshauri jikusanyeni kwa pamoja nendeni talgwu uongozi na muonane na mkurugenzi juu ya hilo, ama kama mnachama cha wafanyakazi hapo pelekeni malalamiko hayo... cheti ni mali yako hata necta wanachukuaga copy tu ...
Kwa sababu hana elimu huyo ajiulize pia ni kwanini madaktari hutumia ule mwandiko na lugha ya kiingereza pia.
Mabala ya kata na mahakama za mwanzo hutumia lugha ya kiswahili .. pia yupo na wanasheria wake si angewauliza hilo swali ???
Makonda alishindwa hayo magari.. gari moja la compactor ni mil. 200 tena used .. kata zipo 5 .. 1 bil huo uchaguzi angegairisha hizo pesa zingeenda kununua hayo magari. Tungemwona wa maana sana..
Diwani wa Kata ya Kimara ktk Wilaya ya Ubungo, Paschal Manota amejivua udiwani na uanachama wa CHADEMA katika barua aliyoandika Januari 20 mwaka huu.
Katika barua yake ameainisha sababu kadhaa ikiwemo kuwepo kwa kutofautiana kati yake na Meya wa wilaya hiyo.
Sababu nyingine ni Meya kuita...
Kwa sababu ya upendo wa mwenyezi mungu ni mkubwa ... tundu lissu mungu anampenda kuliko kawaida na huo ni mfano kuwaumbua wachawi kama nyinyi na bado ... huu mwaka hamtomaliza vizuri naapa . Mtakimbiana wenyewe pale lumumba.
Mikutano ya wapinzani unaona kabisa nyuso za furaha kwa wananchi. Ila mikutano ya wale mcc ni full kaole sanaa group.. mara vitisho sijui mabango yasiyoruhusiwa hatari tupu..
Nacheka sana yale yaliyokuwa yanasemwa juu ya upinzani juu ya mchakato wa kura za maoni leo ndio ccm wanayafanya vilevile....eti lowasa kahamia leo mmempa tiketi ya kuwania uraisi mara ohh chadema wanateua watu bila kura za maoni... leo ccm mnafanya nini sasa.. msitufanye wananchi mazuzu..
Eti mnamuombe mbona mlikataa watu wasitumie neno lissu iwe kwenye biashara yake, usafiri wake hata kumuombea tu mlikitaa.. leo mnajifanya eti tunamuombea apone haraka. Washenzi wakubwa nyie..mtakufa vifo vibaya sana..
Labda ujaelewa ni kwamba aliyaamulu mapepo wayaingie nguruwe lakini nguruwe wakaona ujinga kuingiliwa na mapepo ni heri kujitupa baharini tufe . Hivyo nguruwe wakajitupa baharini na kufa.. mapepo walipoona wamekosa makazi waliyoamuliwa wakaona waweke makazi tu baharini ndio maana hadi leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.