Tanesco customer care is https://jamii.app/JFUserGuide off...!!!
Nawapigia zaidi ya 15min now kwenye options zote za Kiswahili na Kiingereza lakini naambiwa mnahudumia wateja wengine..ni uongo kabisa..mmeweka Simu zenu kwenye busy tone/answering machine mpo busy as if kuna wemgine mnawahudumia kumbe ni uongo...
Mkuu Pascal Mayalla siingilii kwa namna yoyote ile kwa ulilosema ILA Waraka huu wa Maaskofu umenifanya binafsi niwe SO PROUD kuwa Mkristu Mkatoliki..
Wakatoliki TUMEHESHIMISHWA sanaa na Waraka huu Asprin
Tumsifu Yesu Kristu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.