Katika kipindi hiki ambacho watanzania wamechoshwa na uoza wa viongozi waliopo madarakani, tunapoondokewa na kijana mahiri Kama Regia, ni pigo kubwa kwa taifa. Taifa linahitaji kuwa na mamilioni ya vijana kama Regia ili kuleta mapinduzi ya kifikra na ya kiutendaji. Regia ametoa mchango mkubwa...
Alipokosa viti maalum alitafuta ushauri kama ahame CCM au laa. Nadhani baadhi ya washauri wake walikuwa "genuine" kumweleza ukweli - taaluma adimu kwa sasa!
Bibie Shyrose, ningependa kukujulisha ya kuwa kama vile serikali inayoongozwa na Chama Chaenda Mrama (CCM) inavyo outsource ulinzi wa...
<br />
<br />
Hata Kama alikuwa nchini kwani huwa anasikiliza habari na kusoma magazeti? Kama angekuwa anasikiliza na kusoma magazeti angeonyesha dalili za awali za uelewa wa alama za nyakati.
<br />
<br />
Hakuna uamuzi wowote " mgumu, mzito na wa kiume" aliofanya JK kwa kumrudhisha DJ likizo. Alichofanya ni kutekeleza matakwa ya wapinzani pamoja na wabunge wachache wa CCM wenye uchungu na nchi yako - Lukuvi sio mmoja wao!
Uamuzi wa kuunda Kamati teule kuchunguza pamoja na sakata la Jairo, kuingiliwa mamlaka ya bunge, ni dhahiri utakuwa na manufaa zaidi ya kasheshe la Jairo, kwa maana mchakato mzima na matokeo yake yataingiza adabu na akili kidogo kwenye vichwa butu na sugu vya watawala wachwara waliolewa madaraka...
Uliyosema ni ya kweli. Siamini kama watawala - na siyo viongozi, wanasoma makala Kama hii, kwani wamelewa posho na kuvimbiwa vyeo, kiasi kwamba hawajisumbui tena kusoma kuongeza ufahamu wao
Ndugu wana Jamii Forum,
Kwa mara nyingine tene nasikitishwa na kufungwa kwa timu yetu ya mpira wa miguu ta Taifa Stars na Amavumbi!
Hivi sisi tutakuwa kichwa cha mwendawazimu mpaka lini? Tangu Mzee ruksa atoe msemo huo ni takriban miaka 20 sasa, bado tuu, twanyolewa tuu, du kazi kweli...
Wana Jamii Forum,
Bi Kidude, tales of a living legend, ni kitabu kilichoandikwa na Ali Saleh na wenzake. Kitabu hiki kilichojaa picha za bi Kidude, kinazungumzia maisha yake, kama anavyoyaeleza yeye mwenyewe, na jinsi anavyoelezea mila, desturi na tamaduni za wazanzibari. Kwa wale wanaotambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.