Izo taratibu wote tunazifahamu kwa pale nakwaambia sijui wanatumia mbinu zipi hapa barua zinaandikwa kwa DMO sasa sifahamu baadaye DMO anaandika kwa ujumla ila mweka azina yupo ofisi ya DMO na sio kwa mkurugenzi na mkurugenzi anaye mweka azina wake wa wilaya
Taratibu za upande wa vitengo hapa taratibu zinakiukwa hivi ufahamu kuwa mwenyekiti wa almashauri kasimamishwa kwa ajili ya kusaini deal la fedha nzito upo wapi
Sawa ila fedha za hapa zinaitwa kwa hazina ndogo azipitii kwa DED wala kwa mweka azina wa wilaya ila ni azina kubwa Tanga na hata maombi yake yanaishia kwa DMO
Pamoja na mambo mengine wafanyao lakini sasa watumishi na wananchi wa wilaya hii wamechokana, hawa watu wamekuawa kama miungu watu,pitia ziara ya Raisi mwezi juzi tulitoa malalamiko yetu na hata halipo ulizwa kuhusu matatizo alijibu kisanii sana,madudu yao ni:
1. Wanawatumia wakuu wa vituo...
Wizara mbona kimnya!!! TDFA mbona kimnya au yeye ndio msemaji. Asante kwa taarifa tutapunguza kula dagaa mahindi karanga na kuacha. Kuwapa ngombe machudu
Huyu jamaa alikuwa na clone s3 na pia kanunua mchina p5 wote baba mmoja ebu piga angalau picha huone hayo mautumbo yako yanavyo onekana we hata ya kitochi inakufaa c ni kupiga na kupokea!!! WE unafikili s3 original unaweza kufananisha na p5 kwanza ungekuwa nayo usingeuza kwa hiyo bei na nafikili...
Huyo ni pepo wa kufelisha tena shukuru MUNGU umemtambua mapema tafuta mchungaji wa kweli sio hawa matapeli akuombee utafunguka na mawazo ya ushindi yataingia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.