Kuna jamaa wako arusha nyuma ya bank ya barclays bank pale uzunguni (kijenge) wako poa sana ngoja nitafute contact zao then nitakutumia kama utaweza kufantya hiyo training arusha.
Lazima utakuwa unamatatizo wewe, na usitumie uchagga kama ngao yako wachaga hawako hivyo mama, wewe hujui mapenzi na ukiendelea hivyo tunakupoteza soon kwahiyo kila kitu hela, basi olewa na bank kama jamaa alipo sema hapo juu. Jiulize ukiolewa na aliyekuzidi, baada ya muda ukamzidi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.