Wakuu huyu mchungaji lkongo hana tofauti na yuda ninazo habari zake nyingi tuu kwanza Ikulu ni kama nyumbani kwake jukwaa la wakriso kunawakati walikuwa wakimtumia kupeleka maamuzi yao kwa Rais kufika kule akawageuka akasema jukwaa la wakriso linataka 2015 ccm isishinde Bali wachukue dola...
Ninawapongeza hawa maaskofu jamani sio wanafiki kama wengine walivyo wanafiki.wengine ni wakina Yuda tu, wengine wanajifanya hawataki kujihusisha na hili la Tanganyika yetu.watadaiwa siku moja
wewe mpuuzi tu na hujielewi mpagani wewe. Nyie wafuasi wa shetani mumdhalilishe nani? Jaribu mwone kama mnadhani Kakobe ni hao wachumia tumbo mlozoea kuwahonga? Huyu ni mtumishi wa Mungu aliye hai.
Huyu baba Askofu ni wale watu wasiohongeka huyu siyo mchumia tumbo. Hata Kikwete anamjua sana ni kwamba haingiliki. Kiongozi wa dini anayeshabikia serikali dhalimu kama hii huyu sio mtumishi wa Mungu ni muuwaji, big up Bishop Kakobe.
Nyie wakina abakorakamo mnaleta ubabaishaji ili kuivuruga mada iliyoko mbele yetu. Hili jambo ni la msingi sana kwetu na kwa vizazi vijavyo Tanganyika ni lazima irudi ni suala la muda tu.
Asante sana baba Askofu Kakobe tunakushukuru kwa kutuelewesha kwa kutumia maandiko. Tanganyika yetu yunaipenda na tunaitaka. Mungu akuzidishie maisha marefu ili watu wamjue Yesu wajue na haki zao pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.