Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia...
tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda
Konda- bibi twende sit kibao ata utalala
Bibi - oooh sawa mjukuu
Konda - simama tu apo wanashuka mbele
Bibi - akacheka sana tu
Konda- mbona unacheka bibi
Bibi - mjukuu hawa wote...
Kina dada bana hawaachagi mambo yao!
Utamsikia anakwambia: "Baby naona aibu kuingia 2017, it's my first time". [emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa kwa kuchoshwa na tabia ya mkewe iliyobadilika ghafla akaamua kumpleka kwa Padre ili amuelezee nini tatizo mambo yakawa hivi:
Padre: Mumeo analalamika umebadilika sana siku hizi nini tatizo?
Mke: Baba Padre tatizo ni hali ngumu ya maisha.. sio mimi
Padre:Fafanua..!
Mke:Unakuta asubuhi...
House girl alitandika kitanda cha bosi wake Kama Sehemu ya jukumu lake la kila siku. alipomaliza akakitazama sana kile kitanda cha bosi wake akasema naweza kufa bure bila ya kulalia kitanda
kama hiki akasema ngoja nijaribu kulala lau kidogo, akavua nguo zote akaziweka chini akabaki na gagulo tu...
*We Mdada unaeringa na iyo FIGURE (shape) yako...umesaau kuwa MATHEMATICS ilikua na Figure kibao ila shuleni bado Tuliikimbia?*[emoji276][emoji276][emoji276]
Pale unapomlipia mwanao karo ya shule ya mwaka kwa M-PESA ya Tsh 15,000,000 na kuletewa majibu haya
Ahsante kwa kujiunga na kifurushi cha voda-voda umepata dakika 350,000 /sms 750,000 na GB 400,000 TUMIA NDANI YA MASAA 24 TU
kwa OFA zaidi endelea kutumia voda - VODACOM KAZI NI KWAKO...
*Msichana unamtembelea Mwanaume wako na Mkoba mkubwa umejaa vitu mbali mbali isipokuwa nauli. Kwann lakini??.........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumechoka*
Walevi wawili waliokota kioo,
mlevi wa 1 akakiangalia kwa muda mrefu kisha akasema
"hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..!
Mlevi wa pili akamnyang'anya kisha nae akaangalia kioo akasema
"wee kweli huna akili si mimi huyu? halafu unajidai hunikumbuki...
*HII KALI [emoji23]*
*Mgojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.*
*Daktari: hilo tatizo lilianza lini?*
*Mngojwa:tatizo lipi?*
*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
*KAMA NI WEWE UTAFANYA NINI?*
Mke alimuaga mume wake anaenda kumsalimia mam yake mgonjwa kijijini, akaondoka ijumaa na kurudi jumatatu huku akiwa na matunda kibao pamoja na vyakula vingine toka huko kijijini akisema ni mama amenipa kwa ajili yako mume wangu na watoto.
Mume akamuuliza kwa...
Kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia naona anagonga mlango wake karibu masaa mawili hivi wakati mlango anaogonga anaishi peke yake, kwa kuwa sipendagi ujinga nimetoka na kumwambia mwenyewe hayupo kasafiri ,kisha akajiondokea zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ukienda usa unakutana na Trump, ukienda Russia unakutana na mnyama puttin, Korea unakutana na KIM..[emoji119] ukirudi home unakutana na JPM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahama sayari
Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofika akasema, "naomba leseni yako."
Mama akasachi mkoba Wake akatoa kioo kidogo cha kujtazama akampatia! Trafik akakiangalia kwa dakika 2
Akasema sasa si ungesema kama wewe ni trafik mwenzangu!
Haya...
MTU PEKEE AMBAYE MWANAMKE ANAWEZA KUMSIKILIZA KWA MAKINI NA AKAMUELEWA AKAFANYA VILE HASWA INAVYOTAKIWA NI MPIGA PICHA TU
VINGINEVYO KUWA MPOLE TU NDUGU YANGU[emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.