UJUMBE WANGU WA LEO KWENU.
Ndugu zangu watanzania hakuna aliye salama, hayupo! Si mwanasiasa wa upinzani, si mfanyakazi, si mkulima, si bodaboda, si tajiri wala masikini, siyo kiongozi wa dini au wa kijamii, si aliyeko mjini au kijijini.
Pona pona yetu ya peke yake ni kutumia haki zetu za...
PROFESA KITILA NI MSALITI?
Na. Mtatiro J
Kaka yangu na Mwalimu wangu Profesa Kitila Mkumbo amefanya uamuzi mkubwa sana katika maisha yake, lakini huo siyo uamuzi wa mwisho kwa maisha ya duniani.
...
Kama Mungu atamjalia umri mrefu bado anayo nafasi ya kufanya maamuzi makubwa zaidi, na si...
SIKU TANO ZA KAMPENI: YAFUATAYO YANAONESHA DHAHIRI KUWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZINASHIRIKIANA NA CCM KUJARIBU KUHARIBU UCHAGUZI HUU;
Na. Julius Mtatiro.
1. Kumzuia mgombea urais wa CHADEMA/UKAWA kuhudhuria msibani eti kwa sababu amesindikizwa na watu, kana...
KWAKO NDUGU Humphrey Polepole, ENDELEA KUTUMIKIA MAJIZI MILIONI MOJA HUKO ULIKO!
Mimi napenda mijadala kama wewe na sina shaka katika hilo, tuendelee kujadiliana. Kuna watu unawaita majizi na wezi, kwamba mkubwa wao amekatwa na akaelekea kwa UKAWA-FEKI hii ya sasa na si ile ya BMK. Well...
HONGERENI TENA SEGEREA: NINA FURAHA TELE NA SIJATETEREKA!
Na. Julius Mtatiro,
Ndugu zangu, nimejulishwa na mtu muhimu sana kwamba jimbo la Segerea limeachwa chini ya CHADEMA lakini ndani ya UKAWA, nimeshazithibitisha taarifa hizi kwa viongozi wangu.
Kwanza niwapongeze viongozi wote wa...
Ndugu yangu JAKACKSERU,
Hata hiyo UKONGA ina wagombea wazuri tu wa CHADEMA akiwemo Kamanda Mwita Waitara, ngoja tusubiri kujua UKAWA inagawanaje majimbo ndipo tutahitimisha masuala haya. Lakini kwa namna nilivyojipanga sitakuwa na kinyongo kumuunga mkono mgombea yeyote wa UKAWA ikiwa...
CUF ina mitaa mingi kuliko CHADEMA. CUF haikuwa na mgombea mzuri hata kidogo 2010 lakini bado alipigiwa kura 19,000. Jimbo hili vyama hivi viwili ni imara sana.
NITAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SEGEREA – DAR ES SALAAM.
Ndugu zangu, kesho Jumatatu 09 Machi 2015 saa 4.00 asubuhi, nitachukua fomu ya kuwania ubunge katika jimbo la Segerea kama ambavyo taratibu za ndani ya chama changu zinaruhusu. Hakutakuwa na mbwembwe vifijo wala nderemo kwa sababu...
Jamani, mtu yeyote asichangie wala kupokea maombi ya pesa anayotumiwa kwa njia za ujumbe wa simu kutoka akaunti yangu ya FACEBOOK (Julius S. Mtatiro) au ya GMAIL (juliusmtatiro@gmail.com).
Akaunti ya GMAIL ilivamiwa tangu jana mchana na kabla sijai-recover ikawa imetumika kulog- in kwenye...
Wakuu,
Nimejulishwa pia kwamba waziri Lukuvi alisema uongo mwingine mkubwa, jana tarehe 08 Nov 2013 bungeni, kwamba "kwenye mazungumzo ya vyama na serikali ati kuna wakati wajumbe wa vyama(TCD) walishindwa kuelewana na wakaomba faragha na ati wakapewa chumba maalum katika ofisi ya Waziri Mkuu na...
Ndiyo, nimetoa mfano wa CHADEMA na mapendekezo ya SIMPLE MAJORITY, haina tofauti na hoja hii ya tume ya katiba. Kama serikali pia ilitoa ushahidi kuwa HALIMA MDEE ndiye alipendekeza hoja hiyo, ndiyo mnataka ahukumiwe? Jambo muhimu ni kuwa Halima Mdee bado anaamini katika imple majority? Jibu ni...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI;
09 Novemba 2013.
SHUTUMA ZA LUKUVI KWA CUF NI ZA KIPUUZI NA HAZINA MSHIKO;
Nikiwa hapa Johannesburg nikihudhuria mafunzo maalum ya usimamizi wa uchaguzi, nimejulishwa kwamba huko nyumbani Tanzania(bungeni), waziri wa sera, bunge na uratibu mhe. Lukuvi...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI;
09 Novemba 2013.
SHUTUMA ZA LUKUVI KWA CUF NI ZA KIPUUZI NA HAZINA MSHIKO;
Nikiwa hapa Johannesburg nikihudhuria mafunzo maalum ya usimamizi wa uchaguzi, nimejulishwa kwamba huko nyumbani Tanzania(bungeni), waziri wa sera, bunge na uratibu mhe. Lukuvi...
AARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI;
09 Novemba 2013.
SHUTUMA ZA LUKUVI KWA CUF NI ZA KIPUUZI NA HAZINA MSHIKO;
Nikiwa hapa Johannesburg nikihudhuria mafunzo maalum ya usimamizi wa uchaguzi, nimejulishwa kwamba huko nyumbani Tanzania(bungeni), waziri wa sera, bunge na uratibu mhe. Lukuvi ameishutumu...
AARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI;
09 Novemba 2013.
SHUTUMA ZA LUKUVI KWA CUF NI ZA KIPUUZI NA HAZINA MSHIKO;
Nikiwa hapa Johannesburg nikihudhuria mafunzo maalum ya usimamizi wa uchaguzi, nimejulishwa kwamba huko nyumbani Tanzania(bungeni), waziri wa sera, bunge na uratibu mhe. Lukuvi ameishutumu...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Baraza kuu la uongozi la taifa la THE CIVIC UNITED FRONT (CUF - CHAMA CHA WANANCHI) linaloendelea na kikao chake cha siku moja katika hoteli ya MAZSONS mjini Zanzibar limepokea tuhuma zinzowakabili viongozi na wanachama 14 wa chama kutoka kamati ya utendaji ya...
MAAMUZI YA BARAZA KUU LA UONGOZI LA CUF TAIFA JUU YA HAMAD RASHID NA WENZAKE WATATU.
Baraza kuu la uongozi la taifa la THE CIVIC UNITED FRONT (CUF - CHAMA CHA WANANCHI) linaloendelea na kikao chake cha siku moja katika hoteli ya MAZSONS mjini Zanzibar limepokea tuhuma zinzowakabili viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.