Asante sana kwa tafakari yako yenye kina na hekima. Kujua hilo ulilosema si bure, kwani huenda ikawa ni hatua ya kwanza kwawajulishwa kuelekea kufanya kitu fulani juu ya mambo ya muhimu tujulishwayo...Ikingali bado kunapingamizi zinazozuia safari ya binadamu kuelekea utu kamilifu, sikumoja...
Naomba niwashukuru wote walioanzisha tovuti hii na wale wote wanaoshiriki kwa kutoa mchango wao wa mawazo ili yaweze kusomwa hadharani. Pia shukrani nyingi kwakuniwezesha kuwa mdau wa tovuti hii.
Natambua kuwa kuwezeshwa kupata fulsa ya kutoa mawazo ili yaweze kusomwa au kujadiliwa na jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.