hapa na copy kauli ya nape kwenye wall page- face book
"WalIodai barua za watuhumiwa wa afisadi zisingetoka...... Aibu kwao sasa.... Ooh hawawezi kutoa....haya sasa"
source: Face book (nape - wall page)
crap! Mbona unaongea kama mzaramo. Sawa wewe ulipata div 1 point 7. Tumechoka na kibonde, mliyomwona wa kumzungumzia ni kibonde tu! Mbona mnampa umaharufu usio kuwa wa maana.
Nawakumbusha mumkumbuke Mungu, siasa weka pembeni twenden tukasali, tuliombee taifa letu na viongozi wetu, ili wawe na busara na moyo wa huruma kwa watanzania wenzao. Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.