Swahili Bible yaani Biblia ya kiswahili ipo na mm naitumia kila cku na hata kanisani naenda na Galaxy Tab yangu na kutumia soft copy ya Biblia yangu ya kiswahili. Biblia za kiingereza za kumwaga.
Ukweli n kwamba kwa sababu yoyote ile itakayokuwa kitendo cha Kikwete kutoshirikishwa ktk kikao hicho sio dalili nzuri ya ushirikiano wa marais wa jumuiya ya Afr.mashariki. Kikwete na Kagame hawako vizuri na Kagame n rafik wa karibu sana wa Museven. Na hawa wawili wamekuwa wakiitumia sana...
Ni aibu ndg zangu Waislamu kung'ang'ania mahakama ya kadhi kuingia kwenye katiba na kutambuliwa na serikali. Kuna wanachokitafuta hawataki kukisema. Sio bure ila Nionalo n aibu.
Haya night maoni tu na yanaweza kuwa maoni ya mtu yeyote yule including Warioba na members wa tume ya marekebisho ya katiba kwa ujumla kwan nao n watanzania na wanahaki kutoa maoni yao. Nionalo mm n kwamba tujadili hoja bila kijali nani kaitoa. Tunayoikubali tuseme hii sawa tusioikubali tuseme...
Mm hapa naona yako matatizo kadhaa ya kimsingi ya uelewa kutoka kwa wasikilizaji wa hotuba ya Wenje. Kimsingi Wenje hajasema kuwa CUF n mashoga na wala hajasema kuwa wanaukubali ushoga. Alichozungumza yeye ni tabia ya mrengo wa Liberal ktk ujumla wake kwamba kati ya tabia na imani za ki-liberal...
Shukuru Kawambwa na serikali suala sio kusikitika bali n kuchukua hatua kwa ww Kawambwa kujiuzulu ili wenye uwezo wa kuongoza wizara hiyo washike hatamu.
Mbaya zaidi aliyatangaza mwenyewe haya Matokeo ya form four. Kimsingi alitakiwa amalizie hotuba ya Matokeo na statement ya kujiuzulu ili kuinusuru Elimu ya Tanzania. Ni aibu na ni zaidi ya aibu.
Na hili ndo tatizo la baadhi ya wanasiasa wanakaa kujadili opponents wao kisiasa badala ya kujadili masuala yanayoliathiri taifa kama mfumo wetu wa elimu na matatizo yake. Mnyika hapo alipo amesha-prove beyond reasonable doubts kwamba ameelimika bila kujali anavyeti vingapi. Matokeo ya form...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.