Search results

  1. eliakeem

    Vigezo vya kushiriki green card lottery

    Unaacha kufanya madili ya maana, unawaza kubet
  2. eliakeem

    Kenya yaorodheshwa kama nchi ya nne kwa utajiri barani Afrika

    Nimegonga kwenye kiwiko. Sasa population inahusiana nini na citizen welfare. Nenda Burundi 🇧🇮 na Rwanda 🇷🇼 uone kiwango chao cha maisha licha ya kuwa na population ndogo.
  3. eliakeem

    Kenya yaorodheshwa kama nchi ya nne kwa utajiri barani Afrika

    Yaani kama bench mark yako ya maendeleo ni Kenya, basi umefeli. Pale hatuna cha kujifunza. Ungesema Namibia 🇳🇦, Botswana 🇧🇼, Gabon 🇬🇦 ningekuelewa. Lkn machakos kule ni shiida.
  4. eliakeem

    Huyu Mwanajeshi aliekuwa akihutubia leo si ndio yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Sasa si ukomado ni kazi ya ziada? Yeye kazi yake ya msingi ni kuuza madafu.
  5. eliakeem

    nimpepambana na Pro Isrel kihoja mpaka kaona aibu

    Motion ilikuwa ni nini? Na hoja au points ni zipi?
  6. eliakeem

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Kama ulivyokaa kimya wakati wa kuteuliwa, vivyo hivyo kaa kimya wakati kutenguliwa. Hiyo inaitwa hekima. Kujua wakati gani wa kunyamaza na wa kuongea. Kujua wakati gani wa kuupa muda nafasi mpaka pale hali zitakapokuwa sawa, hasa hali yetu ya kiakili. Kwenye Behavioural studies tunaambiwa kuwa...
  7. eliakeem

    Budapest Memorandum: Ulaghai wa kihistoria Warusi waliowafanyia Marekani, Uingereza na Ukraine

    Asante sana kwa kulieleza hili. Pia tunaomba source ili tupate kujielimisha zaidi kuhusu hili.
  8. eliakeem

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    https://www.the-star.co.ke/in-pictures/2024-04-23-photos-inside-dar-es-salaam-sgr-station-as-tz-test-drives-electric-train/
  9. eliakeem

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Angesimama mguu sawa, mikono chini
  10. eliakeem

    Katika miaka 16 ya uongozi, Angela Merkel hakumteua ndugu yake yeyote katika nafasi ya uongozi serikalini

    Hamna asiyejua yaliyotokea. Swali ni hakumteua mkwewe au la!?
  11. eliakeem

    Katika miaka 16 ya uongozi, Angela Merkel hakumteua ndugu yake yeyote katika nafasi ya uongozi serikalini

    Sawa, huo ni utaratibu tu wa kuendesha serikali. Lkn suala ni kwamba, hakumteua?
  12. eliakeem

    Katika miaka 16 ya uongozi, Angela Merkel hakumteua ndugu yake yeyote katika nafasi ya uongozi serikalini

    Bro uko dunia ipi? Hivi hujui kuwa Trump tayari ndiyo rais wa Marekani. Kama unabisha nioneshe rais ajaye mwenye nguvu kama Trump. Ikizingatiwa tuna miezi michache tu kabla ya uchaguzi.
  13. eliakeem

    Katika miaka 16 ya uongozi, Angela Merkel hakumteua ndugu yake yeyote katika nafasi ya uongozi serikalini

    Nasi tuliwahi tokea kuwa na mmoja. Kama si wawili au watatu. JK Nyerere, EM Sokoine na JP Magufuli.
  14. eliakeem

    Katika miaka 16 ya uongozi, Angela Merkel hakumteua ndugu yake yeyote katika nafasi ya uongozi serikalini

    Mbona wabongo mnadahau haraka hivyoo?? Hivi kuna wa kimfananisha na Julius Kambarage Nyerere kwa uzarendo?
  15. eliakeem

    Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

    Wanashangaa sasa China ana uwezo kama wao, Russia ndo hivyo, Iran. Pia hamna mtu anayewashobokea. Basi tu wako insecure.
  16. eliakeem

    Mafanikio ya Mataifa ya China, Urusi na Iran ndio chanzo cha mivutano ya kisiasa baina ya nchi za Magharibi

    Western World wamepatwa na mshituko baada ya kuona dunia inapiga hatua kwa kasi ambayo hawakuitegemea. Mbaya zaidi maendeleo haya hayana mkono wao. Wanaona maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kitekinolojia yanaendelea kote kote duniani pasipo wao kuhusika. Hivyo wanaanza kuona umuhimu wao unaanza...
  17. eliakeem

    Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

    Asante sana kwa ufafanuzi mzuri na rahisi. Pia naomba ufafanuzi wa 1. Schengen 2. Benelux 3. USSR 4. RUSSIA 5. EU 6. NATO 7. WARSAW PACT
Back
Top Bottom