Uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi wa Unasibu Arusha umemalizika huku Wagombea Wanaosimamia Sera na Misimamo ya MABADILIKO wamewagaragaza vibaya wagombea wanaowakilisha na kusimamia sera za CCM kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi Chuo cha Uhasibu Arusha. Wagombea walioungwa mkono na CCM...
Wadau wa JF na Watanzania wenzangu,
Uchunguzi wangu binafsi kwa kutumia sources za ndani na nje ya TRA nimegundua madudu yafuatayo kuhusu mchakato na usambazwaji wa Mashine hizi Kama ifuatavyo:
1. TRA Ilitangaza tender na wazabuni walikuwa wanalambwa rushwa si chini ya Dolla/USD 100,000, hii...
TBC1 kama TV ya Taifa ilipaswa kuonesha tukio la kuuaga Mwili wa Mzalendo Dr. Mvungu lakini badala yake walikuwa wanaonesha tamthilia ya kichina muda huo huo! Hii tafsiri yake kuwa wao hawajaguswa na tukio hili?
Juzi ulichangia mjadala wa Sheria ya Magazeti kwa majivuno na majigambo, huku ukikejeli hoja ya Upinzani iliyotolewa na Tundu Lisu, na michango ya wabunge wengine waliotaka kifungu hicho cha Muswada kuondolewa, huku ukisema wanakipiga kifungu hicho si wazalendo na pasport zao zichunguzwe!
Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.