Mkuu mimi nina Galaxy A5. Mwanzo wakati nawasha ilikuwa inachora kile kialama cha Sumsung cha mduara. Nikaja kurestore kile kialama hakiji tena zaidi inaandika tu Sumsung Android. Niingize code gani irudi ile alama?
Sioni anachokifanya maana ameshindwa kubuni mbinu mbadala ya kusimamia elimu Mkoani Mtwara. Ni mpiga dili kama wapiga dili wengine hususani kwenye zao la Korosho. Huwa anashirikiana na yule Mbunge mustaafu. Ana Saloon yake pale Bima ndipo mipango ya dili hupangiwa.
Tatizo letu vijana tuliowengi huwa tunaweka vyeti vyetu nyumbani na kutembea na maamuzi ya watu wengine vichwani mwetu.Hoja za Francis zina mashiko sana kwa anayeifahamu vizuri CHADEMA. Ila kwa mtu ambaye ameifahamia CHADEMA mwaka 2014 kwenye mkutano mkuu wa Chama pale Mlimani City,ni ngumu kujua.
Jifunze kukomaa kisiasa na siyo siasa za maji taka. Bado hatutakaa kimya kwa watu wanaoharibu image ya chama.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nina uhakika mleta uzi hajitambui ila ni mropokaji ambaye ameweka akili yake mfukoni na kuamua kukichafua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kuwa kimetoka ktk kuzungumza sera za maendeleo na kuanza Siasa za maji taka kama mleta uzi alivyoripoti.Lakini sina uhakika kama anajua kuwa hapa wapo watu...
Danny hana sifa ni mtandao ule wa kusafirisha videmu kwenda nje pasipo manufaa ya BAVICHA. Danny hatakiwi hata kidogo.........labda tuangalie watu wengine.
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.