Huyo OCD wa Hai naye ni mhalifu vilevile akamatwe..alikuwa anashirikiana na jambazi Sabaya kwa kufumbia macho maovu yake na genge lake wazi wazi. Hana cha kujitetea katika hilo
Mkuu ni makosa makubwa sana kufumbia macho maovu yalitendwa kwa kisingizio cha aliyeyafanya hayupo kwahiyo haitasaidia kitu!.Kwa mtu makini ni lazima yasemwe ili iwe fundisho yasije kurudiwa tena..hii ni muhimu sana. Hili la hayati kuwa na chuki kubwa na watu wa kaskazini mbona lilikuwa wazi...
Ndio...ni kwa sababu za kisiasa..vipi bado hautumii VPN mkuu?.kama bado download proton VPN then install kwa simu yako..ni bure..baada ya hapo YouTube kama kawa
Wameambiwa na TCRA ni marufuku kwa vituo vya Radio na Tv za ndani kujiunga na hayo mashirika ya nje bila kupata kibali. Kazi kweli kweli, yaani ni pini kwa kwenda mbele kuelekea uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.