Siku za karibuni kumeibuka ntondo kwa askari Wa barabarani kutumia photo editor.. wanakubambika kesi huku unawatazama hata haya hawana ..mfano mwezi Dec nilikuwa nasafiri kutokea Dar kwenda Moshi nilipopita mto wami kwa mbele nolikuta askari polisi kikosi cha usalama barabarani wakanisimamisha...
jamani naombeni ushauri wenu! huyu mtu ni rafiki yangu wa karibu hata kule kutoka kwangu anakufahamu na ni msiri wangu sina mwingine,
ninakuwa ofisini yeye anakuwa nyumbani na baadae shemeji yake anataka kuja town kwavile yeye yupo maeneo hayo na atakuja town ninampatia namba ya shemejiye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.