Kupitia Kamati yako ya POAC tunatarajia uzibe mianya ya kifisadi. Tumesha kuandikia e-mail kupitia anwani yako ya Bunge. Tumekueleza mengi ya kifisadi yanayofanyika kwenye taasisi ya Umma. Pls fanyia kazi. Najua muda si mrefu watakuja mbele ya kamati yako kwa ujanja mwingi. Waangalieni kwa macho...
Hi thread imekua mno ya kijumla (general) Arusha wapo matajiri wa ukweli na wapo wa njia za panya. Nimetumia tajiri hapa kwa kuwa Bilionea kwingine ni kipimo cha utajiri. Kwetu kama baadhi ya wachangiaji walivyosema bado mfumo umekaa vibaya sasa hivi nchi nzima kuna hao tuwaite bilionea wa unga...
[tunashukuru kwa taarifa hizi nadhani mtatenda haki.
Kuna vyuo kama arusha technical college (atc) kupata kazi pale
ni mpaka uwe na kaka, mjomba au shangazi ndugu vinginevyo hakuna.
Matangazo yao ya kazi kama hujulikani ni ya kusumbua watanzania
wenye kiu ya kazi. Hii ni mbaya sana!]
Hili ni wazo jema. Ni Tanzania pekee ambalo ni Taifa la viongozi wanaodharau wananchi wake. Hii ni kwa sababu kila wakionesha dharau zao kwa wananchi tunakaa kimya. Ni lazima ifeke mahali viongozi wajiulize ni nini kitatokea ikiwa watasema au kufanya kwa nanna fulani.Chukulia maneno ya Polisi...
Ndugu wana Jamii
Chuo cha ufundi Arusha kilipata mamlaka ya kujitawala chenyewe kupitia tangazo la Serikali la Machi, 2007. Chuo cha Ufundi Arusha kiko chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Kwa mamlaka Chuo kiliyopewa, kilipelekea Chuo kupata Mkuu mpya wa kuendesha shughuli za Chuo...
Mwigulu Nchemba ni janga la Taifa. Watanzania wameshajua. Watu wanakimbia majanga, hawakimbilii. Hili ni jibu kwa mhusika. Asante Wananchi kwa utambuzi huo.
Jamani, Tuliangalie jambo hili kwa umakini unaostahili. Tuweke maslahi ya Taifa mbele. Tukiangalia rasilimali zote tulizo nazo Tanzania tunastahili kuwa hapa tulipo?! Tujiulize, kwanini tupo hapa? Ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi na viongozi bora. viwili tunavyo, watu safi tena wengi 45Mil...
Niko kwenye Taasisi moja ya Umma mjini Arusha. Bosi wetu ni mkali sana. Ukali wake unalenga hasa kuogopwa ili alambe hela ya umma kiulaini. Ni vigumu sana mtu kuajiriwa na Taasisi hii kama huna uhusiano na Bosi huyu au jamaa wa Bosi. Bosi huwa anajiandalia Bajeti ya Taasisi na Kuamua kutumia...
Hawawezi kujitokeza kwa kuwa hawana lolote la maama. Mambo yao ni ya chini ya uvungu tuu. Wakwapue mabilio ya fedha la wavuja jasho kifisadi na kutumia dola kuwalinda. Tudhamirie kwa nguvu zote kuwang,oa kwa njia yoyote 2015. Kuendelea kuongozwa na wapiga ramli ni hatari na hatutakaa tufike...
Utajiri wa Tanzania Unaizidi nchi ya Afrika Kusini, lakini sisi ni kati ya masikini sana Duniani. CV za hao wanaoitwa mamesoma karne hii wamefanya nini? Siku hizi CV nazo huchongwa vilevile. Walikoendelea ukishawapa CV inawekwa pembeni wanakupima unaweza nini. Hawaishii tu kwenye CV. Wanajua...
Nashukuru kwa maoni niliyoyapata kutokana na habari fupi niliyoitoa kuhusu matumizi mabaya ya Madaraka.
Nilipenda kuiweka vile ili nione watanzania wenzangu wanalionaje jambo kama hili au wangetoa maoni gani kwa ujumbe husika.
Naomba nifafanue kama ifuatavyo:
Kwa kweli kama Ilivyochangiwa...
Wewe ni jembe. Ukipungua katika majembe machache yaliyopo tanzania wenye nia mbaya na nchi watajihesabu wameshinda. Kikubwa ni kuendelea kuwepo na kuelimisha ambao bado hawajatambua tulikofikiswa na viongozi uchwara.
Ukweli Umedhihirika! Chadema wameshinda na fujo hakuna. Wanachadema wanatambua ya kwamba Tanzania yenye amani ni bora kuliko fujo. Uchaguzi utakuja na utapita lakini Tanzania itabaki. CCM watambue kuwa haki ikidhulumiwa Mungu hulipa kwa njia yake yeye kwani alisema visasi vyoye atalipa yeye...
Habari wanajamii? Kuna watu wamepewa dhamana ya kuongoza badhii ya taasisi za UMMA, badala ya kufanya kama sheria inavyowaelekeza kufanya wanafanya wanavyotaka wao. Kwa Mfano kuna taasisi fulani Mkoani Arusha, Mkuu wa taasisi hii ameamua kuweka marafiki zake na wasaidizi wake kwenye BODI ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.