labda nimuweke sawa kaka,si pesambili aliyefia uwanjani bali ni nadhir mussa mchomba aliyefia uwanjani alikuwa kipa wa afc arusha ni kutokana na daluga la mchezaji keneth pesambili wa 44 kj ya mbeya,ilikuwa tarehe 5/5/2001 na nadhir ni baba yangu mdogo wa kuzaliwa tumbo moja na baba,asante kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.