TANESCO Anagalieni hao wafanyakazi mlio waweka kwa ajili ya kupokea na kushughulika simu za wateja wamekuwa hawapokei simu kabisa simu mtu unapiga hadi mara tano lakini hakuna inayopokelewa sasa nini maana ya udharura hapo, kama mnavyosema dawati la dharura? Hii ni kwa dawati la Arusha.
Huwa namkubali sana Mzee Kinana alishawai kusimama nakumwambia mkuu kuwa lazima afikie mahali akubali kushauriwa na hakumumunya maneno...Ila nilipomsikia na Bashe akitema sumu bila kujali yupo ndani ya nyumba ya kijani...Basi nikawaza upinzani wangempata kiongozi mwenye asili ya Somalia hakika...
Napata mashaka hata na uwezo wako wa kufikirii....Ni nani atakayekumbusha serikali kutimiza majukumu yake pindi Upinzani ukifa kwa kudhulumiwa ni nani atakaye ifanya Serikali ijiendeshe kwa kufuata na kutii sheria kama nchi itarudi na kuwa ya chama kimoja...Mbali na itikadi za kichama upinzani...
Napata mashaka sana kama anaweza kuwa fair kwa Watanzania wenye itikadi tofauti kama yeye mwenyewe pamoja na kuwa Waziri mwenye dhamana ya kulinda usalama wetu anasimama majukwaani tena kumnadi wa Mbunge wa chama tawala kwa kuonyesha Upinzani si pahali sahihi....Likija swala la kuwathibiti...
Hivi kweli kuna mtu asiejua mbinu chafu zinazotumika na chama tawala kwa ajili tu ya uchu wa madaraka imefikia hata hawathamini uhai wa wanachi wake, wamerudisha biashara ya kununua watu, kutumia mabavu ili mradi tu wabaki kwenye dola.....Hakuna marefu yasiyo na ncha...
Job security yenyewe kwa sasa Zero, serikalini kumekuwa kama Sector binafsi tu mtu anakufukuzia kazi jukwaani then unakuja amabiwa na mafao yako yenyewe mpaka uzeeke ndiyo uyapate...Cha ajabu kisa wazo limetoka upinzani litapigngwa kwa nguvu zote...
Anazidi kuweka msisitizo tu kwenye ile kauli yake ya kuwa ''HAPANGIWI'' na kuliko afanye unachomshauri hata kama ni chema bora asuse ufanye wewe...Very nice..eeeh?
Tatizo nyie hampendi kukosolewa wala kuelezwa ukweli na hii ni dalili ya watu wasio jiamini......Uwanja kujengwa chato kwa faida ipi sasa..... Trafic light chato...Kweliii mahali hakuna hata foleni ya magari...Ndiyo uzalendo huo?
Utafiti nao ukagundua kuna vitu 7 wanawake huwa wanavipenda mno kutoka kwa wanaume ambavyo ni ngumu sana kila mwanaume kuwa navyo...Ndiyo maana unakuta mwanamke ameolewa ana timiziwa kila kitu ila anatembea na kachalii cha hapo mtaani kisa anasema amependa tu mpangilio wa meno wa huyo chalii.....
Inabidi waimarishe upatikanaji wa hizo International passport sasa nakumbuka yangu ilijaa nikawa nafuatilia ingine ilinichukua miezi minne kupata kisa tu walikuwa wakiniambia vitabu vimeisha nchini......
Hakuna mda maalumu katika hili pale unapoona umejua ABC za mtu wako na zinakidhi kwa asilimia kadhaa yale matarajio yako...Hapo ndipo wakati muafaka wa ku-upgrade mahusiano yenu.....Ila haitatokea kumpata mwenye sifa zote unazozitaka madhaifu mengine huwa tunasema tutarekebishana wakati safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.