Si kweli kwamba WARAQA BIN NAWFAI NDIYE ALIYEMPA MOHAMED UTUME.
Allah (S.W) ndioie aliyempa utume MTUME MUHAMMAD
Kuran: 48:8 Hakika tumekutuma wewe uwe Shahidi, na Mbashiri, na Mwonyaji,
kuran 25:56 Nasi hatukukutuma ila kuwa ni Mbashiri na Mwonyaji
Waamabie ukweli,baada ya kukaa bara na kutumia fursa zinazopatikana katika rasilimali ziliopo huko Tanganyika wakachimba madini,kuvua samaki au kulima kilimo cha kisasa wanakuja Zanzibar kuuza karanga,kumwagilia bustani za mahotel,kudanga,wnaranda zanzibar nzima kwa miguu wakikuuza...
Kwani hiyo ardhi ya Tanganyika imeumbwa na nini?Kwani kwenye huo mkataba wa Bandari kuna sehemu inasema Dangayika itakuwa nchi ya kiislamu? Au malkia Elizabeth ndio alileta udongo kuka Uingereza na kuifukia bahari na kuifanya Tanganyika? Hiyo ni Tanganyika au Danganyika?Mikataba mingapi...
Mgombe urais wa chama kilichopo madarakani umewahi kuyasikia mameno haya .You can fool some people sometimes,but you can not fool all the people all the time.Kutoka katika wimno wa Get up Stand up
Get up, stand up, stand up for your rights
Get up, stand up, stand up for your rights
Get up...
Hamfurahi Mlo Palepale ameshafilisika kisiasa. Aache uhuni wake wa kuwatukana watu wazima. Tena akome mara moja kuzungumza upuuzi wake. Huu wadhifa wako wa Uwaziri wa Upuuzi na Mambo yasikuwa na Maana mwisho wake chumbe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.